johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Anawaadhibu wananchi kwa sababu ya uzembe wa watendaji? Au kusuasua anakomaanisha ni watu kutojitokeza? Kama ni hivyo, ni busara kufanya hivyo maana chanjo zina expiry date.Waziri wa afya Dkt. Gwajima amesema mikoa itakayoonyesha kusuasua kwenye uchanjaji wa Corona basi watanyang'anywa hizo chanjo na kupelekewa mikoa iliyochangamka katika uchanjaji.
Chanzo: Star tv habari
Mungu ni mwema wakati wote!
Wachaga wanachanja Astra hapo kwa Uhuru bwashee!πππππ Pale ambapo Mawaziri na Serikali ya Muhula wa 6 inapogeuka kuwa maofisa masoko wa kampuni ya JJ πππ
Hawa wamesema Kilimanjaro na Arusha hali ni Mbaya kwa nini wasichukue hz chanjo milion 1 wakawape wachaga huko Kilimanjaro na Arusha ??
Mfano halisi wa mpumbavu aliyepata nafasi ya kuwa waziriNi Gwajima yuleyule aliekuwa anahubiri kujifukizia na kupinga chanjo au ni Gwajima mwingine?Kama ni Gwajima yule yule mwambie kuwa sisi mkoani kwetu hatutaki chanjo, tumechagua kujifukizia.
View attachment 1874030View attachment 1874016