johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Waziri wa afya Dr Dorothy Gwajima amesema yeye na viongozi wenzake walishachanja chanjo ya Corona na sasa wamebaki kuwa walimu wa kuelimisha wananchi nao wachanjwe.
Chanzo: ITV habari
Mungu ni mwema wakati wote.
Chanzo: ITV habari
Mungu ni mwema wakati wote.