Waziri husika, hili la uwekaji vibao kwa ajili ya utambuzi wa makazi mliangalie upya

Waziri husika, hili la uwekaji vibao kwa ajili ya utambuzi wa makazi mliangalie upya

Nyalotsi

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2011
Posts
6,986
Reaction score
5,058
Hili suala ni zuri sana kwa mustakabali wa maendeleo ya makazi na maeneo tunayoishi.

Tatizo limeanzi kwa watu waliopanga kufanya kazi hii.

Hakuna ushirikishwa wa wananchi wa maeneo husika Wala viongozi wao!

Kuna mianya mingi ya watu binafsi kupanga mambo yao kwa manufaa yao.

Mf Kuna maeneo barabara zinapewa majina ambayo hayana uhusiano wowote na eneo husika.

Mtu anaamua yeye peke yake kuipa jina lake hiyo bara Bara wakati hata sio mkazi Wala Hana cheo chochote eneo Hilo.

Tumezoea mitaa au barabara zinapewa majina ya asili ya eneo, mtu maarufu, kiongozi wa eneo.

Sasa hivi hukawii kuona barabara inapewa jina la mtu anaishi mtaa tofauti kabisa na ilipo.

Au wengine wameamua kuzipa bara Bara za mitaa majina wa watoto wao.

Mpaka imefika hatua wananchi wanang'oa hivyo vibao.

Hawayataki hayo majina kwani hawajashirikishwa.

Huu mchakato ushirikishe wananchi, mabalozi na viongozi wengine wa mitaa husika.

Sio watu wachache tu ndio wawe waamuzi wa wengine

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Nape anapiga domo tu wakati huku kitaa watu wanaendelea kuandika majina ya watoto na wajukuu zao
 
Nakubaliana na wewe kabisa, imagine mtaa uko jirani na Taasisi za serikali za muda mrefu mfano chuo cha VETA, Gereza la Kihonda etc lakini badala ya mtaa kuitwa Magereza Street au VETA Street Eti unaitwa Mtaa wa RUVUMA!!!
 
Hili suala ni zuri sana kwa mustakabali wa maendeleo ya makazi na maeneo tunayoishi.

Tatizo limeanzi kwa watu waliopanga kufanya kazi hii.

Hakuna ushirikishwa wa wananchi wa maeneo husika Wala viongozi wao!

Kuna mianya mingi ya watu binafsi kupanga mambo yao kwa manufaa yao.

Mf Kuna maeneo barabara zinapewa majina ambayo hayana uhusiano wowote na eneo husika.

Mtu anaamua yeye peke yake kuipa jina lake hiyo bara Bara wakati hata sio mkazi Wala Hana cheo chochote eneo Hilo.

Tumezoea mitaa au barabara zinapewa majina ya asili ya eneo, mtu maarufu, kiongozi wa eneo.

Sasa hivi hukawii kuona barabara inapewa jina la mtu anaishi mtaa tofauti kabisa na ilipo.

Au wengine wameamua kuzipa bara Bara za mitaa majina wa watoto wao.

Mpaka imefika hatua wananchi wanang'oa hivyo vibao.

Hawayataki hayo majina kwani hawajashirikishwa.

Huu mchakato ushirikishe wananchi, mabalozi na viongozi wengine wa mitaa husika.

Sio watu wachache tu ndio wawe waamuzi wa wengine

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mnataka mshirikishwe kwa namna gani vichaa nyie?

Mtu ameweka majina ya watoto wake inapunguza chochote kwenye account yako ya benki?

Au mnakosa mambo ya msingi ya kufanya mpaka mambo madogo kama haya mnapoteza nayo muda?
 
Nakubaliana na wewe kabisa, imagine mtaa uko jirani na Taasisi za serikali za muda mrefu mfano chuo cha VETA, Gereza la Kihonda etc lakini badala ya mtaa kuitwa Magereza Street au VETA Street Eti unaitwa Mtaa wa RUVUMA!!!
Magereza street zitakuwa ngapi Tanzania?

Mbuyuni, CCM, Magereza yanajirudia almost kila wilaya.

Acheni kuwe na majina unique.
 
Hili suala ni zuri sana kwa mustakabali wa maendeleo ya makazi na maeneo tunayoishi.

Tatizo limeanzi kwa watu waliopanga kufanya kazi hii.

Hakuna ushirikishwa wa wananchi wa maeneo husika Wala viongozi wao!

Kuna mianya mingi ya watu binafsi kupanga mambo yao kwa manufaa yao.

Mf Kuna maeneo barabara zinapewa majina ambayo hayana uhusiano wowote na eneo husika.

Mtu anaamua yeye peke yake kuipa jina lake hiyo bara Bara wakati hata sio mkazi Wala Hana cheo chochote eneo Hilo.

Tumezoea mitaa au barabara zinapewa majina ya asili ya eneo, mtu maarufu, kiongozi wa eneo.

Sasa hivi hukawii kuona barabara inapewa jina la mtu anaishi mtaa tofauti kabisa na ilipo.

Au wengine wameamua kuzipa bara Bara za mitaa majina wa watoto wao.

Mpaka imefika hatua wananchi wanang'oa hivyo vibao.

Hawayataki hayo majina kwani hawajashirikishwa.

Huu mchakato ushirikishe wananchi, mabalozi na viongozi wengine wa mitaa husika.

Sio watu wachache tu ndio wawe waamuzi wa wengine

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Hivi ni kweli tunatakiwa kulipa shs7,000 lea kibao cha namba ya nyumba?
 
Bora hata hayo majina ya watoto wao,
Walipaswa waangalie na aina ya majina wanayozipa hizo barabara pia..!

Hili jina binafsi sijalipenda.!
View attachment 2249530
Hii barabara iko mjini Morogoro. Hiki kibao/jina ni la siku nyingi kabla hata ya kuanza hili zoezi la sasa la anwani za makazi. Na ni jina la mtu.
 
Hii barabara iko mjini Morogoro. Hiki kibao/jina ni la siku nyingi kabla hata ya kuanza hili zoezi la sasa la anwani za makazi. Na ni jina la mtu.
Usiongee kitu kwa uhakika na hukijui mkuu..!!
 
Back
Top Bottom