Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Niliwahi laani sana hawa mapapa wanaopiga viwanja vya watu
Mbaya zaidi ukifwatilia utakuta wizaran kuna wahuni kadhaa wameshiriki kugawa mara ya pili kiwanja kimoja
Leo EATV waziri kafikishiwa malalamiko ya kadhaa akaita maafisa wa ardhi
Akakuta mmoja ameshiriki 💯 kugawa mara ya pili kiwanja kile huku akiwahadaa wenye kiwanja halali nenden mrudi
Waziri hongera kumfukuza kazi na kumkabidhi kwa takukuru
Nashauri anzisha siku maalum kusikilizia malalamiko ya watu wa dar waliopigwa aviwanja
Kukufikia wewe ni shida na mabomu kibao yamekaa katikati kuzuia kukuona kwa wale wenye shida za ardhi huku wakishikishwa na wapigaji ardhi
Tunaombaa hii kitu iishe kabisa hapo wizarani
Nirudie kukupongeza kwa hatua yako pia nisisitize uweze kuwaona wanachi mh waziri
Watu wanalia
Mbaya zaidi ukifwatilia utakuta wizaran kuna wahuni kadhaa wameshiriki kugawa mara ya pili kiwanja kimoja
Leo EATV waziri kafikishiwa malalamiko ya kadhaa akaita maafisa wa ardhi
Akakuta mmoja ameshiriki 💯 kugawa mara ya pili kiwanja kile huku akiwahadaa wenye kiwanja halali nenden mrudi
Waziri hongera kumfukuza kazi na kumkabidhi kwa takukuru
Nashauri anzisha siku maalum kusikilizia malalamiko ya watu wa dar waliopigwa aviwanja
Kukufikia wewe ni shida na mabomu kibao yamekaa katikati kuzuia kukuona kwa wale wenye shida za ardhi huku wakishikishwa na wapigaji ardhi
Tunaombaa hii kitu iishe kabisa hapo wizarani
Nirudie kukupongeza kwa hatua yako pia nisisitize uweze kuwaona wanachi mh waziri
Watu wanalia