#COVID19 Waziri Jaffo aongoza Maombi ya waislamu kufukuza CORONA

Comrade vaa barakoa.
 
kwa hiyo kichwa cha habari hii ni kipi?
kuombea Taifa,kumuombea raisi,au kuiombea corona isiwatafutene wadanganyika?
 
HaaπŸ˜†πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜πŸ˜€
Ameanza Tena Kutupeleka Chaka
Huyu Bwana Jafo Afungwe King'amuzi Kama Bus Vingineyo Speed Yake Haina Afya Kwa Tanzania
 

Amani inaanza na wao wenyewe viongozi wa umma kwa kutenda haki na kutenda mema kwa raia wanaowaongoza, Namshauri Jafo atakasike kwa kurejesha zile payback tunazoambiwa allikuwa anachota kwenye halimashauri
 
Barakoa zinafanya kazi pale kila mtu anapovaa. Nadhani hujui barakoa zinasaidiaje kwenye kupunguza kuenea kwa corona.
 
Huyu si ndio alianzisha NYUNGU day? Hawa wazaramo taabu sana!! Ukiwa na wake watatu chances za kuambukizwa corona ni kubwa kuliko ukiwa na mke mmoja; hasa hawa wazaramo na wakwere wanaoshinda kucheza ngoma!
Fanya utafiti wako vizuri,kuna kabila corona imeleta vifo vingi mno,ingekuwa kuwa na wake wengi ni moja ya sababu,basi wapemba wangeathirika zaidi.
 
Jafo na Msukuma inawezekana ni Aliens,walizaliwa kipindi cha ujima hivyo hawazeeki
 
Hii Nchi Mungu aliingilia kati isitumbukie Shimoni kwa Kumtwaa Mwendazake
Imagine, eti Jafo na yeye alikuwa kwenye Succession plan ya kuwa Raisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…