Waziri Jaffo: Mwezi April 2020 nitamkabidhi Rais Magufuli orodha ya Wakurugenzi wavivu

Hahahaha..Waziri kakasirika simply because posho za wabunge hazijalipwa!!??... nilidhani kaguswa na madeni ya local suppliers including contractors.. anyways, yote kheri.
 
Hahaha dona kantri trunashindwa kununua mashine......
Serikaly za Mitaa ni shida sana. Fikiria Mkuu wa Mkoa, Wilaya, Mkurugenzi, Maafisa Elimu na Walimu Wakuu wana taarifa ya watoto wanaotegemewa kumaliza darasa la saba (Elimu ya Msingi) na kuingia Kidato cha Kwanza( Elimu ya Sekondari) lakini hadi mwaka wa masomo unafika shule hazina madawati, mashimo ya vyoo wala vyumba vya madarasa! Inasikitisha sana. Hivi ni nini kinawazuia kuweka utaratibu wa kujenga miundombinu hiyo kwa wakati wkati wakijua na idadi ya wanafunzi watakojiunga na elimu ya sekondari hata kwa makisio (estimates)? Alafu Kiongozi ngazi ya Mkoa anafikia hatua hata ya kuweka ndani walimu kwa wanafunzi kushindwa kufaulu. Kweli kwa mtindo huu elimu itakuwa yenye kiwango?!
 
 
Katika orodha hiyo mkurugenzi wa Moshi manispaa Kule mkoani Kilimanjaro,akikosekana ,nitashangaa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…