Waziri Jaffo na DC Joketi imarisheni mitandao ya mawasiliano wilayani Kisarawe

Waziri Jaffo na DC Joketi imarisheni mitandao ya mawasiliano wilayani Kisarawe

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Si vema watu wakakosa mawasiliano wanapokuwa kwenye shughuli zao wilayani Kisarawe kwa sababu ya matatizo ya network.

Hivyo niwatie moyo mbunge Jafo, DC Joketi na hata yule almaarufu wa hapo Kisarawe ndugu Kingwendu jitahidini kwa pamoja mlimalize tatizo hili kwa sababu minara yote mikubwa iko mlima Kisarawe.

Maendeleo hayana vyama!
 
Pamoja na hayo lkni Zitto na genge lake ni wapumbavu wakubwa!

Yani mtu kutopatikana kwenye simu masaa kadhaa unakuja kuharisha mitandaoni kwamba katekwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili ni tatizo kubwa sana. Mara ya kwanza nafika Kisarawe nikajua ni Tecno yangu inaleta ujinga ila siku zilivyoenda hali ile ile. Wenyeji wakaniambia ni tatizo la muda wote.

Hadi natoka huko hali ilikuwa hivyohivyo.
 
Hili ni tatizo kubwa sana. Mara ya kwanza nafika Kisarawe nikajua ni Tecno yangu inaleta ujinga ila siku zilivyoenda hali ile ile. Wenyeji wakaniambia ni tatizo la muda wote.

Hadi natoka huko hali ilikuwa hivyohivyo.
Nimekusoma mkuu tatizo ni kubwa!
 
Back
Top Bottom