Kutokana wizi unaoendelea kwenye halmashauri nyingi, NAPENDEKEZA kwa unyenyekevu mkubwa na kwa HAKI, Waziri Jafo arudishwe TAMMISEM.
Kipindi chake alifanya vizuri sn. Haiingii akilini waziri yupo, naibu waziri yupo, katibu mkuu yupo nk, halifu watu wanakusanya pesa za umma kielectronic na kuweka mifukoni mwao, bila kupeleka kwenye akaunti husika.
There must be conspiracy somewhere.
#Come back Jafo to TAMISEMI.
Ujinga huo Jafo hangekubali.
Kipindi chake alifanya vizuri sn. Haiingii akilini waziri yupo, naibu waziri yupo, katibu mkuu yupo nk, halifu watu wanakusanya pesa za umma kielectronic na kuweka mifukoni mwao, bila kupeleka kwenye akaunti husika.
There must be conspiracy somewhere.
#Come back Jafo to TAMISEMI.
Ujinga huo Jafo hangekubali.