Tulia afu andika kwa upole uelewekeKutokana wizi unaoendelea kwenye halimashauri nyingi, NAPENDEKEZA kwa unyenyekevu mkubwa na kwa HAKI, Waziri Jafo arudishwe TAMMISEM. Kipindi chake alifanya vizuri sn. Haiingii akilini waziri yupo, naibu waziri yupo, katibu mkuu yupo nk, halifu watu wanakusanya pesa za umma kielectronic na kuweka mifukoni mwao, bila kupeleka kwenye akaunti husika. There must be conspiracy somewhere.
#Come back Jafo to TAMMISEM.
Ujinga huo Jafo hangekubali.
PCCB baadhi yao ndio wala rushwa na wameibarikiKudhibiti wizi halmashaurini huko kinachotakiwa ni kuboresha ofisi za pccb za huko mawilayani. Wajue kila kinachofanyika ofisi ya mweka hazina wa halmashauri
Fedha yote inayopelekwa halmashauri pccb wapewe taarifa
Takukuru mawilayani wakifanya kazi zao ipasavyo huo wizi huko haufanyiki.
Hakuna kitu huyo,Arudishwe Bashungwa sio huyu wa kujiremba hamna kitu anafanya.Kutokana wizi unaoendelea kwenye halmashauri nyingi, NAPENDEKEZA kwa unyenyekevu mkubwa na kwa HAKI, Waziri Jafo arudishwe TAMMISEM.
Kipindi chake alifanya vizuri sn. Haiingii akilini waziri yupo, naibu waziri yupo, katibu mkuu yupo nk, halifu watu wanakusanya pesa za umma kielectronic na kuweka mifukoni mwao, bila kupeleka kwenye akaunti husika.
There must be conspiracy somewhere.
#Come back Jafo to TAMISEMI.
Ujinga huo Jafo hangekubali.
Bilashaka hujawahi kufanya kazi halmashauri wewe ? Wazir anawezaje kudhibiti wizi wa diwani aliyeunda kikundi hewa ili apewe mikopo ya kinamama na vijanaKutokana wizi unaoendelea kwenye halmashauri nyingi, NAPENDEKEZA kwa unyenyekevu mkubwa na kwa HAKI, Waziri Jafo arudishwe TAMMISEM.
Kipindi chake alifanya vizuri sn. Haiingii akilini waziri yupo, naibu waziri yupo, katibu mkuu yupo nk, halifu watu wanakusanya pesa za umma kielectronic na kuweka mifukoni mwao, bila kupeleka kwenye akaunti husika.
There must be conspiracy somewhere.
#Come back Jafo to TAMISEMI.
Ujinga huo Jafo hangekubali.
1. Jafo:- TAMMISEMIKutokana wizi unaoendelea kwenye halmashauri nyingi, NAPENDEKEZA kwa unyenyekevu mkubwa na kwa HAKI, Waziri Jafo arudishwe TAMMISEM.
Kipindi chake alifanya vizuri sn. Haiingii akilini waziri yupo, naibu waziri yupo, katibu mkuu yupo nk, halifu watu wanakusanya pesa za umma kielectronic na kuweka mifukoni mwao, bila kupeleka kwenye akaunti husika.
There must be conspiracy somewhere.
#Come back Jafo to TAMISEMI.
Ujinga huo Jafo hangekubali.
Hapo TAMISEMI hata awekwe nani haisaidii.Mfumo mzima umeoza kiuadilifu.Hakuna wa kumfunga paka kengele.
[/QUO
Kwahiyo unamaanisha mastupid yamejaa hapo?