Tzmzalendo og
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 337
- 136
πππ, Ebu tafuta expert wa afya akueleze kujifukiza how it works in real science upunguze ujingaππUnataka kujitoa akili kwamba huko kujifukiza siyo ushirikina? Ama kweli mataga mnaburuzwa na huyu mshamba
Mm mwenyewe expert, hebu andika ujinga wako hapa uone nitakavyokupa za usoπππ, Ebu tafuta expert wa afya akueleze kujifukiza how it works in real science upunguze ujingaππ
Kuna watu wametuletea corona ya ajabuajabu sanaKumbe corona ipo!!!
Kuna watu wametuletea corona ya ajabuajabu sana
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji106]
Mi 5 tena!Tanzania haina corona,tulimuomba mungu wa chato ikapotea,kwani nasema uwongo ndgu zangu...[emoji870]tenaa
Da!!!, mambo mengine kwa kweli unashindwa kujua hawa jamaa wanatuonaje....
Anasema "hapa korona haina nafasi"....akimaanisha hakuna korona
Hapohapo anatangaza wiki ya kujifukiza....wanasiasa kwa kweli wanacheza na akili za wadanganyika vizuri sana
Ushirikina huko wapi hapo?yaani nyungu ni ushirikina nchi hii kuna shida mahaliTutafika hadi season ten kama Rais mwenyewe ndyo mwamini ushirikina.
Asante aisee. Acha kabisa nmeumwa mpk nkajua ndio byebyePolee sana aisee!
Kwani dawa ya mitishamba haitengenezwi? Kuchemshwa, kuponda ponda hiyo siyo processing? Ama kweli mabeberu waneharibu kabisa vichwa vyenu.Huko kutengenezwa ndiyo mstari unaotenganisha ushirikina
Kuchemsha, kupondaponda na kuchemsha bila kuhusulisha separation ni ushirikina.Kwani dawa ya mitishamba haitengenezwi? Kuchemshwa, kuponda ponda hiyo siyo processing? Ama kweli mabeberu waneharibu kabisa vichwa vyenu.
niliwahi sema hapa anaposema msemakweli ni mpenzi wa mungu je ni mungu wa nani huyo?Jiwe ameligeuza taifa kuwa la kishirikina. Halafu anajiita mpenzi wa Mungu
Ushirikina kupiga nyungu ama una yako mengine umemaanisha ?Jiwe ameligeuza taifa kuwa la kishirikina. Halafu anajiita mpenzi wa Mungu
Nadhani mungu anayemtaja huyu jiwe ni shetani. Siyo Mungu wetu aliye hai.niliwahi sema hapa anaposema msemakweli ni mpenzi wa mungu je ni mungu wa nani huyo?
Nyungu ni ushirikina na Jiwe ni mshirikina. Period!Ushirikina kupiga nyungu ama una yako mengine umemaanisha ?
Mbona hela waliamuru turudishe dawa za nini sasaYote tisa......View attachment 1689834
lazima tupate wasiwasi maana yanayotendeka ni tofauti na mungu tunayemuabuduNadhani mungu anayemtaja huyu jiwe ni shetani. Siyo Mungu wetu aliye hai.
Kinga.Nyungu tena kama korona haipo nyungu za nini ?