Waziri Jafo atangaza wiki moja ya "nyungu" season 3

Unataka kujitoa akili kwamba huko kujifukiza siyo ushirikina? Ama kweli mataga mnaburuzwa na huyu mshamba
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, Ebu tafuta expert wa afya akueleze kujifukiza how it works in real science upunguze ujingaπŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, Ebu tafuta expert wa afya akueleze kujifukiza how it works in real science upunguze ujingaπŸ˜‚πŸ˜‚
Mm mwenyewe expert, hebu andika ujinga wako hapa uone nitakavyokupa za uso
 
Da!!!, mambo mengine kwa kweli unashindwa kujua hawa jamaa wanatuonaje....

Anasema "hapa korona haina nafasi"....akimaanisha hakuna korona

Hapohapo anatangaza wiki ya kujifukiza....wanasiasa kwa kweli wanacheza na akili za wadanganyika vizuri sana

Mkuu wanatuona sisi ni majuha fulani au ni kama watoto wadogo hivi:


Na huo ndiyo ulio ukweli mchungu.
 
Huko kutengenezwa ndiyo mstari unaotenganisha ushirikina
Kwani dawa ya mitishamba haitengenezwi? Kuchemshwa, kuponda ponda hiyo siyo processing? Ama kweli mabeberu waneharibu kabisa vichwa vyenu.
 
Nireteeni Gwajima
Nireteeni Tulia, Nitatulia
Huyu Daniel Hajui Kujiereza Ni Darasa ra Saba
Ila Kwenye Matatizo Yenu Atawatetea Kule Bungeni
 
Kwani dawa ya mitishamba haitengenezwi? Kuchemshwa, kuponda ponda hiyo siyo processing? Ama kweli mabeberu waneharibu kabisa vichwa vyenu.
Kuchemsha, kupondaponda na kuchemsha bila kuhusulisha separation ni ushirikina.

Kwasabb ni hata washirikina hufanya hizo processes.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…