Waziri Jerry Silaa amteua Mhandisi Mwasalyanda kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF)

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
TAARIFA KWA UMMA

Kwa mujibu na mamlaka aliyopewa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mheshimiwa Jerry William Silaa (Mb) chini ya Kifungu cha 9 (1) cha Sheria ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) ya Mwaka 2009 amemteua Mhandisi Peter Phillip Mwasalyanda kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF). Aidha, uteuzi huo ni wa muda wa kipindi cha miaka mitano (05) kuanzia tarehe 07 Oktoba, 2024 hadi tarehe 06 Oktoba, 2029.




PIA SOMA
 

Kwa mujibu wa mamlaka aliyopewa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mheshimiwa Jerry William Silaa (Mb) chini ya Kifungu cha 9 (1) cha Sheria ya Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (USCAF) ya Mwaka 2009 amemteua Mhandisi Peter Phillip Mwasalyanda kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (USCAF). Aidha, uteuzi huo ni wa muda wa kipindi cha miaka mitano (05) kuanzia tarehe 07 Oktoba, 2024 hadi tarehe 06 Oktoba, 2029.
 
Un
Una hela huo mfuko,au ni mfuko tuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…