Waziri Jerry Silaa: Avunja Bodi ya Kampuni ya Magazeti ya Serikali Tanzania (TSN)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry William Silaa (Mb) kwa mamlaka aliyopewa kwa mujibu wa Sheria ya Mashirika ya Umma Na. 2 ya mwaka 1992 ameivunja Bodi ya Kampuni ya Magazeti ya Serikali Tanzania (TSN) kuanzia tarehe 18 Septemba, 2024.

Kampuni hii ya Magazeti ya Serikali Tanzania (TSN) inamilikiwa na Serikali kwa asilimia mia moja na ipo chini ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari.

Soma Pia:

- Baada ya Wenyeviti kuondolewa, Waziri Jerry Silaa avunja Bodi za TTCL, Shirika la Posta (TPC) na UCSAF


- Waziri Jerry Silaa amteua Mhandisi Mwasalyanda kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF)
 
Asante Mungu, bila kuvunja hiyo bodi tungekusikia wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…