Waziri Jerry Silaa, Wananchi wa jimboni kwako wanauliza kwanini kwako hautatui?

Waziri Jerry Silaa, Wananchi wa jimboni kwako wanauliza kwanini kwako hautatui?

NGOSWE2

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2013
Posts
1,323
Reaction score
1,608
Habari waungwana!

Leo katika pitapita zangu mitaa ya jimbo la Ukonga, nimekutana na mjadala unaohusu ardhi na utoaji hati miliki za ardhi kwa urasimu.

Nilipotaka kujua kulikoni tena nyumbani kwa Mheshimiwa, jibu nililopewa ni kuwa maagizo na mikwala yote tuinayo kwenye televisheni aitoayo, jimboni kwake hali ni mbaya sana.

Walienda mbali na kusema "kila wanapompelekea kero jibu lake Mheshimiwa Slaa ni kuwa yeye anafanya kazi nchi nzima sio Ukonga tu."

Hivyo wanauliza kwa yale wanaoyaona maeneo mengine ukitatua, Kwanini kwako hautatui?
 
Yaweza kua jimboni kwake kuna jambo, maana haiwezekani atatue kero za mbali wakati kwake hali ni mbaya
 
Yaweza kua jimboni kwake kuna jambo, maana haiwezekani atatue kero za mbali wakati kwake hali ni mbaya
Kuna jamaa kaniambia wiki iliyopita katika mkutano uliofanyika Chanika wa Chama, aliwaambia kero zao anazijua. Lakini kuna wawakilishi wanazifuatilia
 
Kuna jamaa kaniambia wiki iliyopita katika mkutano uliofanyika Chanika wa Chama, aliwaambia kero zao anazijua. Lakini kuna wawakilishi wanazifuatilia
Sasa kwanini hazichukulii hatua safari hii wanaukonga lazima wamtoe kwenye sanduku la kura.
 
Hizi sarakasi tunazoziona kwenye TV zinaishia wapi mkuu?
Maana nasikia nako huko Wizarani wamekaa miungu watu. Mpaka wabudiwe ndio uweze kushughulikiwa suala lako la hati
Ndiyo Wizarani ndiyo kuna uozo mkubwa kupita kiasi
 
Chama kimesha mbana
Ameanza kuwa upande wa mobjustas

Ccm ni Majizi hivyo wavamizi wamejiunga na kutumia ccm kuhalalisha uvamizi wao kutumia mobjustas ndicho kinachofanyika Ukonga na hata Nkuhungu broad acre Dodoma
 
Back
Top Bottom