Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Kwa siku mbili tatu hizi kumetokea changamoto kubwa ya mtandao kwenye upande wa MPESA ambapo watu wamekuwa wakipata changamoto katika kutokea na kupokea pesa kupitia mitandao ya simu.
Soma pia:
Siku ya leo, Jerry Slaa akiwa anajibu swali la Mbunge amedokeza kuwa Serikali inafahamu changamoto hiyo na kuongeza kuwa
"Mheshimiwa Naibu Spika ni kweli kumekuwa na shida, tulipata malalamiko makubwa kutoka vodacom ambao walikuwa wanaboresha mfumo wao wa billing system. Tayari nimewaelekeza TCRA kufanya tathmini ya suala lenyewe kama ni suala kweli la kiufundi au kuna uzembe kwenye leseni waliopewa wenzetu Vodacom, nimewaagiza TCRA wachukue hatua."
Kwa kauli hii ya Slaa ni kwamba kama TCRA wakigundua kuwa kulikuwa na uzembe, Waziri anaweza kuwapokonya Vodacom leseni ya ku-operate nchini? Au nimewaza kikondakta?
Kwa siku mbili tatu hizi kumetokea changamoto kubwa ya mtandao kwenye upande wa MPESA ambapo watu wamekuwa wakipata changamoto katika kutokea na kupokea pesa kupitia mitandao ya simu.
Soma pia:
Siku ya leo, Jerry Slaa akiwa anajibu swali la Mbunge amedokeza kuwa Serikali inafahamu changamoto hiyo na kuongeza kuwa
"Mheshimiwa Naibu Spika ni kweli kumekuwa na shida, tulipata malalamiko makubwa kutoka vodacom ambao walikuwa wanaboresha mfumo wao wa billing system. Tayari nimewaelekeza TCRA kufanya tathmini ya suala lenyewe kama ni suala kweli la kiufundi au kuna uzembe kwenye leseni waliopewa wenzetu Vodacom, nimewaagiza TCRA wachukue hatua."
Kwa kauli hii ya Slaa ni kwamba kama TCRA wakigundua kuwa kulikuwa na uzembe, Waziri anaweza kuwapokonya Vodacom leseni ya ku-operate nchini? Au nimewaza kikondakta?