Riskytaker
JF-Expert Member
- Mar 14, 2024
- 568
- 2,522
Dar ndo jiji kubwa Tanzania ukifanya research utagundua availability ya maji Dar Ina range 60%--70% mfano Ubungo na Kimara maji yanatoka mara mbili Kwa wiki tena Kwa mda mchache yanakata mwezi wa pili huu.
Ukicheki Leo 2024 Bado maji ni shida Ila Waziri yupo naibu wake yupo wanachofanya ni sifuri.
Hizi ni reflection za kushindwa kuleta impact positive kwenye maendeleo. Na option hapo ni Waziri na naibu wake wangetimuliwa Kwa sababu hakuna anachokifanya.
Pia soma:
Ukicheki Leo 2024 Bado maji ni shida Ila Waziri yupo naibu wake yupo wanachofanya ni sifuri.
Hizi ni reflection za kushindwa kuleta impact positive kwenye maendeleo. Na option hapo ni Waziri na naibu wake wangetimuliwa Kwa sababu hakuna anachokifanya.
Pia soma:
- KERO - Shida ya upatikani wa Maji eneo la Ubungo Kibangu na maeneo ya Karibu
- KERO - Maji Malamba Mawili ni mgao mkali, baadhi ya Wakazi walio kwenye miinuko wana miezi hawapati maji kutokana na kasi ndogo ya maji. DAWASA wafafanua
- KERO - Waziri Aweso, Jiji la Dar Sasa wanakunywa na kuoga maji ya kwenye mifereji. DAWASA pakavu