Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Medard Kalemani, amewataka Watumishi wa Shirika la umeme Tanzania ( TANESCO) pamoja na REA, kufanya kazi kwa kasi, kwa ubunifu na kwa usahihi ili kuhakikisha vijiji vyote nchini vimeunganishwa na umeme ifikapo mwezi Desemba mwaka 2022.
” Ni kauli mbiu ya Wizara ya Nishati, na ni kauli mbiu yangu kufanya kazi kwa kasi, kwa ubunifu na kwa usahihi na kila mtumishi wa Wizara ya Nishati na Taasisi zake anapaswa kuifahamu na kuitekeleza kauli mbiu hii” Amesema Dkt. Kalemani.
My Take:
Kwa hii kauli mbiu, na kwa maelezo ya Mh. Mwigulu juu ya hali halisi huko vijijini sidhani au nadhani Mh. Kalemani unataka kushindana na "Numbers" , Kumbuka "Numbers dont lie"
” Ni kauli mbiu ya Wizara ya Nishati, na ni kauli mbiu yangu kufanya kazi kwa kasi, kwa ubunifu na kwa usahihi na kila mtumishi wa Wizara ya Nishati na Taasisi zake anapaswa kuifahamu na kuitekeleza kauli mbiu hii” Amesema Dkt. Kalemani.
My Take:
Kwa hii kauli mbiu, na kwa maelezo ya Mh. Mwigulu juu ya hali halisi huko vijijini sidhani au nadhani Mh. Kalemani unataka kushindana na "Numbers" , Kumbuka "Numbers dont lie"