Waziri kaleta Balaa Barabara za Mwendokasi

Waziri kaleta Balaa Barabara za Mwendokasi

Inch 9

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
1,093
Reaction score
1,365
Kwema,

jamani wanajukwaa huyu waziri aliyetangaza watu wenye vyombo vya moto kutumia Barabara za mwenďokasi kaleta balaa ingawa yeye alimaanisha Barabara zile ambazo hazijaanza kutümika.

Kama kawaida ya Wabongo kupindua vitu kichwa chini miguu juu kumekuwa na matumizi holela ya hizi barabara kuanzia Posta mpaka Kimara.

Sasa hivi imekuwa vurugu kila menus gari lake sasa hivi ni mwendo wa kuteleza tu na mwendokasi road hivyo tunakutaka muheshiwa uje utengue lile tamko lako kwani sisi wengine tunapanda haya magari kukimbia foleni ila tunachokutana nacho ni sawa hakuna tulichokwepa.

Tatizo hili lipo sana maeneo ya makutano ya Barabara za mwendokasi na zile za kawaida imeshakuwa ni Too much sasa hadi Daladala zinachomekea kwenye hizi njia mpaka kero hasa maeneo ya kuanzia Baruti kwenda Kimara.

Tunakuomba chonde chonde Muheshiwa tengua ile kauli yako na tabia hii mara nyingi ni Usiku ndipo utakutana na Adha hii na kama umo humu jukwaani tunaomba lifanyie kazi jambo hili Nimemaliza kazi njema ndugu Waziri.
 
Kuna ujenzi unaendelea hivyo huwa wanachepukia huko kupunguza foleni.

Punguza ubinafsi, ni jambo la muda tu, ujenzi ukikamilika mambo yatakaa sawa kila mtu atarudi kwenye njia yake.
 
Inawezekana kama watakuwa wanatumia akili
Hii pia inakuwa njia ya kuongeza mapato ya kusaidia mabasi ya UDART,
Inachotakiwa ni kuweka camera, inayoweza kusoma number plate,
Halafu unaruhusu kupita mwendokasi kwenye muda maalumu
Hapo ukipita muda usioruhusiwa camera inatuma namba kwa TRA 😀, hawa ndio wana at least mifumo ya kudaka wakwepa faini, halafu polisi wanamezeshwa hizi taarifa, lazima uteme bungo maana itakuwa gari yako iko kwenye system ya kuwepa faini hata ukitoa rushwa kwa traffic , faini hafutiki, utadakwa na traffic mwingine.....
Yaani wafanye kuwa serious kama vile kukwepa kodi ya TRA.....

Hii ni mifano inayotumika kwa wenye akili

1731977217178.png


1731977127520.png
 
Inawezekana kama watakuwa wanatumia akili
Hii pia inakuwa njia ya kuongeza mapato ya kusaidia mabasi ya UDART,
Inachotakiwa ni kuweka camera, inayoweza kusoma number plate,
Halafu unaruhusu kupita mwendokasi kwenye muda maalumu
Hapo ukipita muda usioruhusiwa camera inatuma namba kwa TRA 😀, hawa ndio wana at least mifumo ya kudaka wakwepa faini, halafu polisi wanamezeshwa hizi taarifa, lazima uteme bungo maana itakuwa gari yako iko kwenye system ya kuwepa faini hata ukitoa rushwa kwa traffic , faini hafutiki, utadakwa na traffic mwingine.....
Yaani wafanye kuwa serious kama vile kukwepa kodi ya TRA.....

Hii ni mifano inayotumika kwa wenye akili

View attachment 3155764

View attachment 3155762
Exactly, hili ndio nilitegemea lifanyike kwa muda maalum, kibongo bongo saa 12 asubuhi mpaka saa 3 unusu asubuhi kisha saa 10 jioni hadi saa 4 usiku kwa gari binafsi tu. Hakuna boda boda , daladala wala bajaji wanaoruhusiwa humo.
 
Kwema,

jamani wanajukwaa huyu waziri aliyetangaza watu wenye vyombo vya moto kutumia Barabara za mwenďokasi kaleta balaa ingawa yeye alimaanisha Barabara zile ambazo hazijaanza kutümika.

Kama kawaida ya Wabongo kupindua vitu kichwa chini miguu juu kumekuwa na matumizi holela ya hizi barabara kuanzia Posta mpaka Kimara.

Sasa hivi imekuwa vurugu kila menus gari lake sasa hivi ni mwendo wa kuteleza tu na mwendokasi road hivyo tunakutaka muheshiwa uje utengue lile tamko lako kwani sisi wengine tunapanda haya magari kukimbia foleni ila tunachokutana nacho ni sawa hakuna tulichokwepa.

Tatizo hili lipo sana maeneo ya makutano ya Barabara za mwendokasi na zile za kawaida imeshakuwa ni Too much sasa hadi Daladala zinachomekea kwenye hizi njia mpaka kero hasa maeneo ya kuanzia Baruti kwenda Kimara.

Tunakuomba chonde chonde Muheshiwa tengua ile kauli yako na tabia hii mara nyingi ni Usiku ndipo utakutana na Adha hii na kama umo humu jukwaani tunaomba lifanyie kazi jambo hili Nimemaliza kazi njema ndugu Waziri.
ALISEMA BARABARA AMBAZO HAZIJAANZA KUTUMIKA, HII HAIHUSU BARABARA YA MOROGORO NA MOROCCO AMBAZO ZINATUMIKA.
 
Back
Top Bottom