Kufuatia sakata la Mfanyabiashara Deogratius Tarimo kunusurika kutekwa na watu wasiojulikana, Wakili wa kujitegemea, Jebra Kambole ameutumia ukurasa wake wa X kuukumbusha umma wa Watanzania sheria inasemaje pale wanapofuatwa kukamatwa na Polisi.
Wakili @Advocate_Jebra Kambole ameandika:-
“Usikubali kukamatwa na mtu ikiwa;
1. Kavaa kiraia
2. Gari halina No. au No za kiraia
3. Watu ambao hawajatoa vitambulisho
4. Watu wasiokwambia kosa lako na kwamba uko chini ya ulinzi.
5. Watu wasio na hati ya ukamataji!!”
“Pambana kama Big Tarimo!!” amesema.
Wakili @Advocate_Jebra Kambole ameandika:-
“Usikubali kukamatwa na mtu ikiwa;
1. Kavaa kiraia
2. Gari halina No. au No za kiraia
3. Watu ambao hawajatoa vitambulisho
4. Watu wasiokwambia kosa lako na kwamba uko chini ya ulinzi.
5. Watu wasio na hati ya ukamataji!!”
“Pambana kama Big Tarimo!!” amesema.