Waziri Kigwangalla aagiza kampuni ya Uwindaji ya OBC ya Loliondo kurudi walikotokea kabla ya Januari 2018

Huyo si ni Bwn Ndolanga na Mhs Kinana??
Wafadhiri wakubwa wataguswa??
 
Na hawata ondoka kwa chuki binafsi za udini.
Hata huyo kingwangada atapigwa stop hajui taifa linanufaika vipi na taxes za hawa jamaa.
Hao makelele yenu ya kichaga Rais hawezi kuyasikiliza.
Anafahamu kuwa mnataka poachers wavamie hilo eneo .
Khaaa! Umehamisha gori mkuu, unataka uipeleke kidini sasa hii inshu
 
Yetu macho...
Nikiikumbuka Symbion kabla yake alikuja Mwarabu na kanzu (Dowans), kelele zilipozidi akaja Mzungu na tai.... kimyaaaaa mpaka leo.
Wenyewe ni walewale walichobadili ni mshono wa nguo tu.
Yataka moyo!
Nimecheka peke yangu kwenye gari mpaka aibu aiseee
 
CCM wanajikosha tu kwa wananchi,hiyo mikataba waliingia wenyewe na hao wawekezaji..
Tukikalia haya ya kuilaumu ccm, tutakuja kushtukia kimekua chama tawa milele, kwani watakuwa na sababu nyingi za kuchaguliwa na wanainchi.

Am sure, kama tutaendelea hivi 2020 itakuwa dhoruba kubwa kwa upinzani.

Ikumbukwe mtenda dhambi aki kili na kutubu tena na kujirekebisha upendo wa Mungu juu yake huongezeka mara dufu, tusishangae kama sisiemu wameamua kujirekebisha na kujisahihisha wakiwa bado madarakani wataishika hii nchi kwa kipindi kilefu mno.

Upinzani hasa vijana mnapaswa na nyinyi m badili mbinu za kutafuta dola na sio hizi za kuihukumu ccm kwa makosa waloyatenda ambayo wameamua kuyarekebisa wenyewe.
 
Yetu macho tu! kuna msemo "mdomo uliponza kichwa".
 
Hii yote ni CCM ,

Milpo ambiwa mlete mikataba yote Bungeni ipitiwe upya mlikataa..

Sasa mnakuja na story kama hizi za Bwana Saidi Bagaire...(kigwangala)..
 
ISSUE inakuja, .
Wameamua kujisahihisha na kujirekebisha. Sasa tuliobaki tunachukua jukumu gani??
 
Ivi watz wote tukiziunga mkono jitihada za serkal, tutafanikiwa fasta, bt serkal inatupigania while kunawatu wengine kazi yao ni kupinga na kuupotosha ukweli.
inatupigania kwa zile risasi za lisu?
 
Hakuna mtumishi mzuri wa kama alieanza na dhambi akamaliza na haki tena akiwa hai, huyu kwa Mungu ana thawabu kubwa mno,

Kuliko

Aliyeanza kwa haki sasa anamaliza kwa dhambi huyu anastaili adhabu kubwa mnoo.


Naikumbuka stori ya yule mwana mpotevu aseeee
 
Ivi watz wote tukiziunga mkono jitihada za serkal, tutafanikiwa fasta, bt serkal inatupigania while kunawatu wengine kazi yao ni kupinga na kuupotosha ukweli.
Sikiliza wewe zumbukuku sisi hatuna shida na kinachofanywa na serikali tatizo njia inayotumika inatupeleka kwenye janga kubwa! Kifupi kwa wewe usioelewa yule mwarabu ana mkataba wa kupewa eneo hilo
 
Kama wao hawatuheshimu hakuna haja ya kuwaheshimu!! Niambie mtanzania anayemiliki rasilimali huko arabuni kwa mkataba wa 99years! Siipendi ccm ila kwa hili nipo na yeyote mwenye kuonyesha nia ya kuwaondoa hawa ngedure nchini mwetu!
 
Sijaamini kabisa, Mkuu Kigwa anabadilisha chanel, kama alivyofanyiwa Maalim Seif kwa Mfalme wa Oman.
Pipe zije straight badala ya kuzunguka!!
Ipo kazi hapoo!!
 

Mwenyekiti wa TANAPA ni mjeshi!?
 
Mkuu ipo siku utaamini CCM imebadilika aseee
Unajibu kwa uhalisia au kwa hisia zako za kuipenda CCM,watalamu wa saiklogia wanasema unapotoa uamuzi wakati unahisia fulani mara nyngi uamuzi wako unakuwa sio sahihi...
 
Unajibu kwa uhalisia au kwa hisia zako za kuipenda CCM,watalamu wa saiklogia wanasema unapotoa uamuzi wakati unahisia fulani mara nyngi uamuzi wako unakuwa sio sahihi...
Tatizo unatumia hasira,
Hakuna dhambi kwangu kuipenda ccm
Na sidhani kama ni haki yako kunipangia cha kujibu mkuu
 

Maneno yako yana nguvu sana,kitu ninachokiiona mimi hapa kwa hao waliokiri kuwa wamefanya kosa,wanafanya mambo yao kwa kutafuta "KIKI"...

Kama kweli huyu mwekezaji ana hati ya kumiliki hilo eneo kwa miaka 99,basi haiwezekani aondolewe kiholela,kirahisi rahisi kama hivyo..lazima mwekezaji atahami atatafuta njia ya kurejeshewa haki yake..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…