Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,468
- 2,349
Waziri Kiongozi wa SMZ ameamua kuwa mfagiaji wa barabara katika Halmashauri ya Manispaa ya Zanzibar. Hatua yake hii imetokana na barabara katika halmashauri hiyo kukithiri wa michanga kiasi cha kushindwa kutofautisha iwapo ni za lami au la!
Aidha watafiti wa mambo ya siasa wanasema hatua hiyo ni sehemu ya mpango wake wa kujiweka karibu na wananchi wa visiwa hivyo katika kuelekea uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010, huku baadhi ya watendaji wa Manispaa wakidai ni njia yake ya kukwamisha ununuaji wa mtambo wa kisasa wa kusafisha barabara visiwani humo... Kwa maelezo zaidi cheki hapa
Aidha watafiti wa mambo ya siasa wanasema hatua hiyo ni sehemu ya mpango wake wa kujiweka karibu na wananchi wa visiwa hivyo katika kuelekea uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010, huku baadhi ya watendaji wa Manispaa wakidai ni njia yake ya kukwamisha ununuaji wa mtambo wa kisasa wa kusafisha barabara visiwani humo... Kwa maelezo zaidi cheki hapa