Waziri Kombani Ndani Ya Sakata La Jerry Muro

ndio hivyo manake hata mkuu wao naye ni hivyo hivyo tu.
watanzania---endeleeni kucheka na nyani ili hali tayari mmeshaanza kuvuna mabua..itafikia staji hata mabua yatakuwa hamna..nayo yataliwa na nyani..
 


Very innocent indeed! Wanamwonea tu . . . LOL
 
Duh sasa dhamana ya nchi yetu tumpe nani kama mawaziri pia wanahusika katika kuhujumu nyanja mbalimbali za kuleta maendeleo nchini? Hii ni hatari kubwa, watanzania tunakoelekea ni kubaya sana!
 

Mkuu,

Bahati mbaya sana ni wachache wanaoona tatizo lilipo. SIASA na MFUMO batili wa kujitawala.

Naamini kama tungeweka SIASA pembeni na kueka mfumo thabiti wa kujitawala, mambo kama haya yasingejitokeza.

Hao law enforcers wenyewe ni waganga njaa na slaves wa genge la watawala. They are not autonomous kwa sababu MFUMO wenyewe umeegemea kwenye maamuzi ya wanasiasa.

Tuendelee kuugulia maumivu mpaka kitakapokuja kizazi chenye daring power.
 
inaonekana mmeshasahu mambo ambayo mafisadi hawataki mjue juu yao! niliyaandika hapa.
 
I wish viongozi wote wanaokuwa na tuhuma za ufisadi wakae kando ya nyadhifa zao kupisha uchunguzi.
 
Halafu kuna taasisi inasema imefanya tafiti zake na kuwa zaidi ya 70% ya waliotoa maoni wanasema wanaimani na serikali ya CCM ambayo inaongozwa na mawaziri wa aina hii. Mirembe Hospital ipanuliwe maana wengi tunahitaji kupelekwa huko kupimwa.
 
Mkuu una hisa nae nn?


Sina hisa naye Fidel80 lakini mnamuonea tu . . . . LOL

Hata mahakama haijasema, mnamuonea tu Mkuu, hata Chenge, Lowassa, Rostam nk. wote mnawaonea . . . mahakama hazijawahukumu ati . . . .

Hata hoja ya mgombea binafsi pia mnalazimisha . . . Mahakama ya Rufaa bado haijaamua . . . . . haaa haaa . . .

Tanzania zaidi ya uijuavyo . . . . lakini mambo ni shwari tu, AMANI, MSHIKAMANO NA UTULIVU . . . . Karibuni Wawekezaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…