samvande2002
JF-Expert Member
- Mar 6, 2009
- 413
- 34
wewe nawe Innocent kwa Uzito ama wepesi wa sura yake ?
Very innocent indeed! Wanamwonea tu . . . LOL
Tumeyasema sana humu. Sema huu ni mfumo uliokomaa sana. Ulianzishwa na CCM kuchangiwa na taasisi za UMMA. Hamjawahi kushtukia utajiri mawaziri wetu unatokana na nini muda mfupi baada kushika nyadhifa hizi? Mchezo huu pia unazikumba PCCB, TISS ndio maana ni vigumu mno kuudhibiti.
Very innocent indeed! Wanamwonea tu . . . LOL
Mkuu una hisa nae nn?
Sina hisa naye Fidel80 lakini mnamuonea tu . . . . LOL.