Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Mh. Lukuvi, nianze kwa kukupongeza kwa kazi nzuri mkuu.
Kumekuwa na hili suala sugu kama sio ugonkwa sugu wizara yetu, wapo wengi wanalipa kila kitu kupata hati zao wanatajiwa wahonge pesa kubwa, shida nini zaidi?
Unaweza kufanya uchunguzi wako binafsi; utajiridhisha na hiki nachoandika.
Hati za viwanja zimekuwa kama madini. Umekamilisha kila kitu bado unambiwa jiongeze hasa hii mikoa.
Dar
Arusha
Moshi
Mwanza. Ni mikoa hatari sana
Ushauri wangu: Kama Moshi vijana wengi wanakaa zaidi ya miaka minne hili sijambo jema wanapozoea ofisi unakuta wanajiamini kufanya uchafu wowote.
Waziri Lukuvi najua unapambana baba kila kona mpaka raha swala la hati naomba ulivalie njuga.
Wafanyakazi wabadilishwe mara kwa mara kupunguza rushwa na mambo ya kujiongeza.
Kumekuwa na hili suala sugu kama sio ugonkwa sugu wizara yetu, wapo wengi wanalipa kila kitu kupata hati zao wanatajiwa wahonge pesa kubwa, shida nini zaidi?
Unaweza kufanya uchunguzi wako binafsi; utajiridhisha na hiki nachoandika.
Hati za viwanja zimekuwa kama madini. Umekamilisha kila kitu bado unambiwa jiongeze hasa hii mikoa.
Dar
Arusha
Moshi
Mwanza. Ni mikoa hatari sana
Ushauri wangu: Kama Moshi vijana wengi wanakaa zaidi ya miaka minne hili sijambo jema wanapozoea ofisi unakuta wanajiamini kufanya uchafu wowote.
Waziri Lukuvi najua unapambana baba kila kona mpaka raha swala la hati naomba ulivalie njuga.
Wafanyakazi wabadilishwe mara kwa mara kupunguza rushwa na mambo ya kujiongeza.