Tetesi: Waziri maghembe siku zinahesabika hatoshi

Tetesi: Waziri maghembe siku zinahesabika hatoshi

comrade igwe

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2015
Posts
7,295
Reaction score
3,950
Kutokana na jaribio la kutaka kusitisha operation maalumu leo operation hiyo ilifanikiwa kukamata meno 50 ya tembo sawa na tembo 25 vilevile kukamatwa kwa jangili sugu Mpemba iliopelekea Mh Rais afanye ziara ya ghafla. Kwann Waziri alitaka kusitisha zoezi hilo na leo hii kamsimamisha kazi mhifadhi mkuu wa pori la burigi kagera kisa kukamata mifugo ndani ya Hifadhi ni dhahiri mheshimiwa Waziri ana mikono yake kwa majangili hivyo hatapona katika utumishi wake
 
Rais kavamia na Kukagua Wizara ya Maliasili bila ya Uwepo wa Waziri japo sijui Kama yupo Nchini au laa!

Rais kaja kumuona kwa Macho yake 'Israel' wa Tembo wetu maarufu Mpemba!
 
Back
Top Bottom