I wish i have
Senior Member
- Nov 2, 2021
- 135
- 62
- Thread starter
-
- #21
New TANESCO mmelamba dume!?Huu ndio uzuri wa Makamba ana leadership qualities ni mtu wa kusikiliza, JF wamempiga madongo naona wametambua umuhimu wa engineers kwenye body ya wakurugenzi...
Labda ni huyu mtoto!?Tanesco inatoa huduma kwa jamii na sio biashara mkiweka hivo ijiendeshe kibiadhara si ndio gharama za umeme zitazidi. Tanesco inahitaji mifumo mipya ya kiutendaji kusaidia utendaji wake uwe rahisi kwa wananchi wengi
wenyewe wapige tu ila watuletee huduma boraTanesco mpya ya wapiga Dili
Uliona wapi dili na huduma bora vinakaa chumba kimoja?wenyewe wapige tu ila watuletee huduma bora
Mtoa mada huyu I wish i have ameijoin Leo hii JF ila namshangaaa ameanza na matusi.Kuna mfano wa I WISH I HAVE PENISS na msosi wake ni mwepesi kuuchezea!?
Wewe ndio nilikuwa naelewa kazi ... kuzaliwa upya sio tusi kwakoMtoa mada huyu I wish i have ameijoin Leo hii JF ila namshangaaa ameanza na matusi.View attachment 1995759
I WISH I HAVE PENIS NIGEJIFUNZA HIYO LUGHA YAKOMtoa mada huyu I wish i have ameijoin Leo hii JF ila namshangaaa ameanza na matusi.View attachment 1995759
Wewe ndiyo unasema wengine tunamkumbukaHatukumbuki dhalimu.
mkuu kwa sasa nchi ipo kwa wenyewe hata tupige kelele vipi haitasaidiaUliona wapi dili na huduma bora vinakaa chumba kimoja?
Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba amesema ni wakati sasa Shirika la Umeme Tanzania TANESCO kuanza kujiendesha kibiashara, kwa ufanisi ili kuchangia uchumi wa Taifa.
Mhe. Makamba amesema hayo leo Septemba 26, 2021 wakati akizungumza na Mameneja wa TANESCO wa ngazi ya Kanda, Mikoa, Wilaya na Makao Makuu.
Aidha Mhe. Makamba amewatambulisha Wajumbe wa Bodi ya TANESCO wakiogozwa na Mwenyeki, Bw. Omari Issa, pamoja na Mkurugenzi Mtendaji, Bw. Maharage Chande, walioteuliwa Septemba 25, 2021 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan.
Wajumbe wa Bodi ya TANESCO waliotambulishwa ni pamoja na Bw. Nehemia Mchechu, Bi. Zawadia Nanyaro, Bw. Lawrence Mafuru, Mhandisi Cosmas Masawe, Balozi Mwanaidi Maajar, Mhandisi Abdallah Hashim, Bw. Abubakar Bakhresa na Bw. Christopher Gachuma.
Mhe. Makamba amesema Bodi iliyochaguliwa ina wajumbe kutoka nyanja mbalimbali na watasaidia Shirika kufikia malengo.
"Tunataka baada ya miaka mitatu Shirika liingie katika orodha ya mashirika bora, yenye thamani na yanayoheshimika Afrika" alisema Mhe. January Makamba
Naye Mwenyekiti wa Bodi ya TANESCO, Bw. Omari Issa, amesema atahakikisha Bodi inafanya kazi na kutimiza malengo yake kwa kufuatilia kwa karibu utekelezaji wa malengo na uwajibikaji.
Mkurugenzi Mtendaji, Bw. Maharage Chande, ameeleza vipaumbele ambavyo ni masilahi ya rasilimaliwatu, Wateja wa Shirika na utekelezaji wa mipango, hivyo ameomba ushirikiano kutoka kwa wafanyakazi wa TANESCO.
"Nimhakikishie Mhe. Waziri tutahakikisha tunarudisha heshima ya Shirika na ufanisi kupitia ushirikiano wenu, hakuna Shirika lolote linalotoa huduma ya umeme zaidi yetu sisi, yamkini tuwape wateja wetu huduma wanayostahili", " alisema Bw. Maharage Chande
Meneja Mwandamizi Rasilimaliwatu, Bw. Francis Sangunaa, aliwahakikishia viongozi ushirikiano kwa niaba ya wafanyakazi wa TANESCO.
We binadamu unatuona sisi wananchi wajinga kweli. Mpelekee Kigogo propaganda zako za kitoto. Energy independence ya Tanzania inachezewa wewe huoni.Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba amesema ni wakati sasa Shirika la Umeme Tanzania TANESCO kuanza kujiendesha kibiashara, kwa ufanisi ili kuchangia uchumi wa Taifa.
Mhe. Makamba amesema hayo leo Septemba 26, 2021 wakati akizungumza na Mameneja wa TANESCO wa ngazi ya Kanda, Mikoa, Wilaya na Makao Makuu.
Aidha Mhe. Makamba amewatambulisha Wajumbe wa Bodi ya TANESCO wakiogozwa na Mwenyeki, Bw. Omari Issa, pamoja na Mkurugenzi Mtendaji, Bw. Maharage Chande, walioteuliwa Septemba 25, 2021 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan.
Wajumbe wa Bodi ya TANESCO waliotambulishwa ni pamoja na Bw. Nehemia Mchechu, Bi. Zawadia Nanyaro, Bw. Lawrence Mafuru, Mhandisi Cosmas Masawe, Balozi Mwanaidi Maajar, Mhandisi Abdallah Hashim, Bw. Abubakar Bakhresa na Bw. Christopher Gachuma.
Mhe. Makamba amesema Bodi iliyochaguliwa ina wajumbe kutoka nyanja mbalimbali na watasaidia Shirika kufikia malengo.
"Tunataka baada ya miaka mitatu Shirika liingie katika orodha ya mashirika bora, yenye thamani na yanayoheshimika Afrika" alisema Mhe. January Makamba
Naye Mwenyekiti wa Bodi ya TANESCO, Bw. Omari Issa, amesema atahakikisha Bodi inafanya kazi na kutimiza malengo yake kwa kufuatilia kwa karibu utekelezaji wa malengo na uwajibikaji.
Mkurugenzi Mtendaji, Bw. Maharage Chande, ameeleza vipaumbele ambavyo ni masilahi ya rasilimaliwatu, Wateja wa Shirika na utekelezaji wa mipango, hivyo ameomba ushirikiano kutoka kwa wafanyakazi wa TANESCO.
"Nimhakikishie Mhe. Waziri tutahakikisha tunarudisha heshima ya Shirika na ufanisi kupitia ushirikiano wenu, hakuna Shirika lolote linalotoa huduma ya umeme zaidi yetu sisi, yamkini tuwape wateja wetu huduma wanayostahili", " alisema Bw. Maharage Chande
Meneja Mwandamizi Rasilimaliwatu, Bw. Francis Sangunaa, aliwahakikishia viongozi ushirikiano kwa niaba ya wafanyakazi wa TANESCO.
Ni mchezo wa kuwaza KABURI bila KUWAZA MAVI YA MWANADAMU WATAKAOKUJA MSIBANI.... (MAGUFUIFICATION OF AFRICA)
Huyu waziri anaweza asidumu sana.Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba amesema ni wakati sasa Shirika la Umeme Tanzania TANESCO kuanza kujiendesha kibiashara, kwa ufanisi ili kuchangia uchumi wa Taifa.
Mhe. Makamba amesema hayo leo Septemba 26, 2021 wakati akizungumza na Mameneja wa TANESCO wa ngazi ya Kanda, Mikoa, Wilaya na Makao Makuu.
Aidha Mhe. Makamba amewatambulisha Wajumbe wa Bodi ya TANESCO wakiogozwa na Mwenyeki, Bw. Omari Issa, pamoja na Mkurugenzi Mtendaji, Bw. Maharage Chande, walioteuliwa Septemba 25, 2021 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan.
Wajumbe wa Bodi ya TANESCO waliotambulishwa ni pamoja na Bw. Nehemia Mchechu, Bi. Zawadia Nanyaro, Bw. Lawrence Mafuru, Mhandisi Cosmas Masawe, Balozi Mwanaidi Maajar, Mhandisi Abdallah Hashim, Bw. Abubakar Bakhresa na Bw. Christopher Gachuma.
Mhe. Makamba amesema Bodi iliyochaguliwa ina wajumbe kutoka nyanja mbalimbali na watasaidia Shirika kufikia malengo.
"Tunataka baada ya miaka mitatu Shirika liingie katika orodha ya mashirika bora, yenye thamani na yanayoheshimika Afrika" alisema Mhe. January Makamba
Naye Mwenyekiti wa Bodi ya TANESCO, Bw. Omari Issa, amesema atahakikisha Bodi inafanya kazi na kutimiza malengo yake kwa kufuatilia kwa karibu utekelezaji wa malengo na uwajibikaji.
Mkurugenzi Mtendaji, Bw. Maharage Chande, ameeleza vipaumbele ambavyo ni masilahi ya rasilimaliwatu, Wateja wa Shirika na utekelezaji wa mipango, hivyo ameomba ushirikiano kutoka kwa wafanyakazi wa TANESCO.
"Nimhakikishie Mhe. Waziri tutahakikisha tunarudisha heshima ya Shirika na ufanisi kupitia ushirikiano wenu, hakuna Shirika lolote linalotoa huduma ya umeme zaidi yetu sisi, yamkini tuwape wateja wetu huduma wanayostahili", " alisema Bw. Maharage Chande
Meneja Mwandamizi Rasilimaliwatu, Bw. Francis Sangunaa, aliwahakikishia viongozi ushirikiano kwa niaba ya wafanyakazi wa TANESCO.
Mwendazake alikosea sana kwenye demokrasia lakini TANESCO aliondoa mikataba isiyoeleweka, akaimarisha Kinyerezi na akaondoa mgao wa ratiba uliokuwepo wakati wa Mkapa na Kikwete na alikuwa anaenda kumaliza nyundo ya mwisho Rufiji, haina haja ya Tanesco mpya itakayorudisha mikataba mibovu.
Mwendazake aliweza kuondoa Service charge ya 7,000 kila mwezi Tanesco ya zamani, Tanesco mpya inahangaika na buku kwenye Luku
Kwenye hili hata kama nilikuwa nampinga Magufuli ila kwa Tanesco alimaliza ukiritimba mwingi sana na ufisadi mkubwa wa hela za maskini
Sawa we msaport tu Mwizi utaelewa badae Maana hauna akiliMkuu samahani sana kukwambia ukweli Ila kiuhalisia huelewekagi unataka nini.. ni kama mwanamke malay.a, alitokea mtu akawa na bidii ya kumaliza tatizo la umeme ukawa unashinda mitandaoni kumwombea mabaya leo hii bila aibu upo unalialia kama mtoto yatima. Nakufananisha na machinga fulani rafiki zangu ambao mwaka Jana walikuwa bize kumshangilia Lissu eti NI YEYE, mara tunataka demokrasia na Uhuru wa kujieleza huku wakikandia vitambulisho vya elfu 20. Juzi wamefulumushwa kariakoo wanaanza kulaani nikawakumbusha ndo demokrasia waliokuwa wanalilia. Kwa kumalizia nakukumbusha, hakuna kiongozi wa nchi atakayeweza kumaliza shida zote za wananchi, angalia mwenye nafuu mpe sapoti.. vinginevyo endelea kulialia mpaka uingie kaburini.
To hell with this dictator. Ameharibu sana Nchi yetu, Mungu ametupenda kwa kumpeleka jehanamu mapema