johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kutengeneza ppe kumewashinda manesi wanapukutikaNaibu waziri wa viwanda
Majukumu ya ccm bungeni kusema ndiyoooo.Chadema ni wahuni Wamekimbia majukumu
Wasubirie October wataiona hasira ya Watanzania
Bwashee siasa siyo uadui!Vyama rafiki...
Ni kama Simba iseme Mtibwa ni timu rafiki..?
Tungo tata.
Sawa kabisa, na iwe hivyo!Bwashee siasa siyo uadui!
Ile kesi ya mwanachama wetu Wema Sepetu iliishia wapi?Pole Mdude kwa kudanganywa uwe agent wa madawa ya kulevya nyanda za juu kusini.
Ngoja tusikie hotuba ya boss wa biashara yako huenda ni ya kukuombea msamaha utoke jela.
Kazi ya Makonda kuwataja ndiyo imeanza kuzaa matunda sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpumbavu mwingineNaibu waziri wa viwanda na biashara mh Stella Manyanya amesema Chadema wana mbwembwe tu za mitaani na mitandaoni lakini inapofika swala la kufanya maamuzi magumu bungeni wabunge wao hukimbia.
Manyanya amesema Spika Ndugai anawafahamu vizuri wabunge hao wa Chadema na makandokando yao hivyo hawamsumbui kwa lolote na wao wa CCM na vyama rafiki wanamuunga mkono kwa 100%
Chanzo: Star tv
Maendeleo hayana vyama
Mckilize huyu bwasheeNaibu waziri wa viwanda na biashara mh Stella Manyanya amesema Chadema wana mbwembwe tu za mitaani na mitandaoni lakini inapofika swala la kufanya maamuzi magumu bungeni wabunge wao hukimbia.
Manyanya amesema Spika Ndugai anawafahamu vizuri wabunge hao wa Chadema na makandokando yao hivyo hawamsumbui kwa lolote na wao wa CCM na vyama rafiki wanamuunga mkono kwa 100%
Chanzo: Star tv
Maendeleo hayana vyama