Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
WAZIRI Masauni ametoa ruhusa ya Barabara hiyo kutumika na wananchi kuanzia saa kumi na mbili asubuh mpaka saa kumi na mbili jioni huku akitoa muda wa ruhusa hiyo kuwa ni muda wa miezi 6 huku ikisubiriwa barabara mpya iliyotolewa na Jeshi la Magereza kukamilika.