Waziri Masauni linda jina la Rais na ulinde jina lako pia

Waziri Masauni linda jina la Rais na ulinde jina lako pia

TheMaster

Member
Joined
Aug 10, 2023
Posts
36
Reaction score
68
Mheshimiwa Hamad Yusuph Masauni, waziri wa mambo ya ndani, ujumbe wangu kwako leo ni mfupi tu. Huwenda usikuchukue hata dakika 5 kuusoma kwasababu siku hizi hata simu zangu hushiki tena.

Huwenda umesahau Wacha nikukumbushe, wizara unayoongoza ndiyo wizara iliyo na mawaziri wengi zaidi katika historia kuliko wizara yeyote Nchini na mawaziri asilimia zaidi ya 90 wameongoza wizara hiyo kwa miaka chini ya mitatu yaani mwaka mmoja hadi miaka miwili .

Wengi wao walitenguliwa na baadhi yao walijuzulu kılinda hishma zao na kumlinda Boss wao (Mh. Raisi).
Hii inadhihirisha ni namna gani unaongoza wizara yenye moto mkali ndani na nje.

Moja ya watangulizi wako ni Ali Hassan Mwinyi, Alijiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani kulinda hishma wake na hishma ya Rais wake, lakini kutokana na uungwana ule watu wakamfaa kumpa nafasi kubwa zaidi ya uraisi wa Zanzibar na baadae uraisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hautakuwa waajabu kupisha na kuwaachia wengine ili kulinda hishma yako bwana mkubwa. Wala hautakuwa wa kwanza kufanya hivyo.

Jina la Rais wetu limechafuka kila sehemu, ni wewe pekee utaweza kulisafisha kwa kuachia nafasi yako kutokana na matukio yanayoendelea Nchi nzima ya mauwaji na utekaji. Huwenda usiwe muhusika wa moja kwa moja na matukio haya, lakini matukio yanayoendelea yanaigusa wizara unayoiongoza moja kwa moja.

Muungwana akivuliwa nguo huchutama, hakuna mwenye shaka juu ya uungwana wako Bwana mkubwa, hebu chutama sasa utamalaki uungwana wako.

Nakukumbusha tu waislamu wana neno lao husema
“Man satara musliman satarallahu Yaumul Qiyama “

Soma Pia:

Wasalaam.
 
Mheshimiwa Hamad Yusuph Masauni, waziri wa mambo ya ndani, ujumbe wangu kwako leo ni mfupi tu. Huwenda usikuchukue hata dakika 5 kuusoma kwasababu siku hizi hata simu zangu hushiki tena.

Huwenda umesahau Wacha nikukumbushe, wizara unayoongoza ndiyo wizara iliyo na mawaziri wengi zaidi katika historia kuliko wizara yeyote Nchini na mawaziri asilimia zaidi ya 90 wameongoza wizara hiyo kwa miaka chini ya mitatu yaani mwaka mmoja hadi miaka miwili .

Wengi wao walitenguliwa na baadhi yao walijuzulu kılinda hishma zao na kumlinda Boss wao (Mh. Raisi).
Hii inadhihirisha ni namna gani unaongoza wizara yenye moto mkali ndani na nje.

Moja ya watangulizi wako ni Ali Hassan Mwinyi, Alijiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani kulinda hishma wake na hishma ya Rais wake, lakini kutokana na uungwana ule watu wakamfaa kumpa nafasi kubwa zaidi ya uraisi wa Zanzibar na baadae uraisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hautakuwa waajabu kupisha na kuwaachia wengine ili kulinda hishma yako bwana mkubwa. Wala hautakuwa wa kwanza kufanya hivyo.

Jina la Rais wetu limechafuka kila sehemu, ni wewe pekee utaweza kulisafisha kwa kuachia nafasi yako kutokana na matukio yanayoendelea Nchi nzima ya mauwaji na utekaji. Huwenda usiwe muhusika wa moja kwa moja na matukio haya, lakini matukio yanayoendelea yanaigusa wizara unayoiongoza moja kwa moja.

Muungwana akivuliwa nguo huchutama, hakuna mwenye shaka juu ya uungwana wako Bwana mkubwa, hebu chutama sasa utamalaki uungwana wako.

Nakukumbusha tu waislamu wana neno lao husema
“Man satara musliman satarallahu Yaumul Qiyama “

Soma Pia:

Wasalaam.
Kwani Polisi wametenda kosa lipi?
 
Mheshimiwa Hamad Yusuph Masauni, waziri wa mambo ya ndani, ujumbe wangu kwako leo ni mfupi tu. Huwenda usikuchukue hata dakika 5 kuusoma kwasababu siku hizi hata simu zangu hushiki tena.

Huwenda umesahau Wacha nikukumbushe, wizara unayoongoza ndiyo wizara iliyo na mawaziri wengi zaidi katika historia kuliko wizara yeyote Nchini na mawaziri asilimia zaidi ya 90 wameongoza wizara hiyo kwa miaka chini ya mitatu yaani mwaka mmoja hadi miaka miwili .

Wengi wao walitenguliwa na baadhi yao walijuzulu kılinda hishma zao na kumlinda Boss wao (Mh. Raisi).
Hii inadhihirisha ni namna gani unaongoza wizara yenye moto mkali ndani na nje.

Moja ya watangulizi wako ni Ali Hassan Mwinyi, Alijiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani kulinda hishma wake na hishma ya Rais wake, lakini kutokana na uungwana ule watu wakamfaa kumpa nafasi kubwa zaidi ya uraisi wa Zanzibar na baadae uraisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hautakuwa waajabu kupisha na kuwaachia wengine ili kulinda hishma yako bwana mkubwa. Wala hautakuwa wa kwanza kufanya hivyo.

Jina la Rais wetu limechafuka kila sehemu, ni wewe pekee utaweza kulisafisha kwa kuachia nafasi yako kutokana na matukio yanayoendelea Nchi nzima ya mauwaji na utekaji. Huwenda usiwe muhusika wa moja kwa moja na matukio haya, lakini matukio yanayoendelea yanaigusa wizara unayoiongoza moja kwa moja.

Muungwana akivuliwa nguo huchutama, hakuna mwenye shaka juu ya uungwana wako Bwana mkubwa, hebu chutama sasa utamalaki uungwana wako.

Nakukumbusha tu waislamu wana neno lao husema
“Man satara musliman satarallahu Yaumul Qiyama “

Soma Pia:

Wasalaam.
Duh 🙄 🙄
 
Mheshimiwa Hamad Yusuph Masauni, waziri wa mambo ya ndani, ujumbe wangu kwako leo ni mfupi tu. Huwenda usikuchukue hata dakika 5 kuusoma kwasababu siku hizi hata simu zangu hushiki tena.

Huwenda umesahau Wacha nikukumbushe, wizara unayoongoza ndiyo wizara iliyo na mawaziri wengi zaidi katika historia kuliko wizara yeyote Nchini na mawaziri asilimia zaidi ya 90 wameongoza wizara hiyo kwa miaka chini ya mitatu yaani mwaka mmoja hadi miaka miwili .

Wengi wao walitenguliwa na baadhi yao walijuzulu kılinda hishma zao na kumlinda Boss wao (Mh. Raisi).
Hii inadhihirisha ni namna gani unaongoza wizara yenye moto mkali ndani na nje.

Moja ya watangulizi wako ni Ali Hassan Mwinyi, Alijiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani kulinda hishma wake na hishma ya Rais wake, lakini kutokana na uungwana ule watu wakamfaa kumpa nafasi kubwa zaidi ya uraisi wa Zanzibar na baadae uraisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hautakuwa waajabu kupisha na kuwaachia wengine ili kulinda hishma yako bwana mkubwa. Wala hautakuwa wa kwanza kufanya hivyo.

Jina la Rais wetu limechafuka kila sehemu, ni wewe pekee utaweza kulisafisha kwa kuachia nafasi yako kutokana na matukio yanayoendelea Nchi nzima ya mauwaji na utekaji. Huwenda usiwe muhusika wa moja kwa moja na matukio haya, lakini matukio yanayoendelea yanaigusa wizara unayoiongoza moja kwa moja.

Muungwana akivuliwa nguo huchutama, hakuna mwenye shaka juu ya uungwana wako Bwana mkubwa, hebu chutama sasa utamalaki uungwana wako.

Nakukumbusha tu waislamu wana neno lao husema
“Man satara musliman satarallahu Yaumul Qiyama “

Soma Pia:

Wasalaam.
Viwanda vya pamba vimefungwa
 
Mheshimiwa Hamad Yusuph Masauni, waziri wa mambo ya ndani, ujumbe wangu kwako leo ni mfupi tu. Huwenda usikuchukue hata dakika 5 kuusoma kwasababu siku hizi hata simu zangu hushiki tena.

Huwenda umesahau Wacha nikukumbushe, wizara unayoongoza ndiyo wizara iliyo na mawaziri wengi zaidi katika historia kuliko wizara yeyote Nchini na mawaziri asilimia zaidi ya 90 wameongoza wizara hiyo kwa miaka chini ya mitatu yaani mwaka mmoja hadi miaka miwili .

Wengi wao walitenguliwa na baadhi yao walijuzulu kılinda hishma zao na kumlinda Boss wao (Mh. Raisi).
Hii inadhihirisha ni namna gani unaongoza wizara yenye moto mkali ndani na nje.

Moja ya watangulizi wako ni Ali Hassan Mwinyi, Alijiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani kulinda hishma wake na hishma ya Rais wake, lakini kutokana na uungwana ule watu wakamfaa kumpa nafasi kubwa zaidi ya uraisi wa Zanzibar na baadae uraisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hautakuwa waajabu kupisha na kuwaachia wengine ili kulinda hishma yako bwana mkubwa. Wala hautakuwa wa kwanza kufanya hivyo.

Jina la Rais wetu limechafuka kila sehemu, ni wewe pekee utaweza kulisafisha kwa kuachia nafasi yako kutokana na matukio yanayoendelea Nchi nzima ya mauwaji na utekaji. Huwenda usiwe muhusika wa moja kwa moja na matukio haya, lakini matukio yanayoendelea yanaigusa wizara unayoiongoza moja kwa moja.

Muungwana akivuliwa nguo huchutama, hakuna mwenye shaka juu ya uungwana wako Bwana mkubwa, hebu chutama sasa utamalaki uungwana wako.

Nakukumbusha tu waislamu wana neno lao husema
“Man satara musliman satarallahu Yaumul Qiyama “

Soma Pia:

Wasalaam.
Nadhan ni muhimu zaidi waziri na RAIS wakajizatiti zaidi kulinda usalama wa watu, mali na makazi yao.

Na kwa nguvu zote na kwa gharma yoyote ile walinde umoja, amani na utulivu waTanzania, hapana kukukimbia matatizo ni kuchapa kazi tu.

kujiuzulu ni kukimbia matatizo. Ni utamaduni wa kizamani usiokua na maana au faida yoyote ile. Kwani waziri aliteulia mambo ya ndani akacheze rede au kunywa kahawa?

Kusudi la yeye kupewa kazi ile ni kudeal na changamoto za kiusalama kama zilizojitokeza, sio kujiuzulu linapotokea Tatizo na kulinda majina ambayo hayana maana yoyote 🐒
 
Mheshimiwa Hamad Yusuph Masauni, waziri wa mambo ya ndani, ujumbe wangu kwako leo ni mfupi tu. Huwenda usikuchukue hata dakika 5 kuusoma kwasababu siku hizi hata simu zangu hushiki tena.

Huwenda umesahau Wacha nikukumbushe, wizara unayoongoza ndiyo wizara iliyo na mawaziri wengi zaidi katika historia kuliko wizara yeyote Nchini na mawaziri asilimia zaidi ya 90 wameongoza wizara hiyo kwa miaka chini ya mitatu yaani mwaka mmoja hadi miaka miwili .

Wengi wao walitenguliwa na baadhi yao walijuzulu kılinda hishma zao na kumlinda Boss wao (Mh. Raisi).
Hii inadhihirisha ni namna gani unaongoza wizara yenye moto mkali ndani na nje.

Moja ya watangulizi wako ni Ali Hassan Mwinyi, Alijiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani kulinda hishma wake na hishma ya Rais wake, lakini kutokana na uungwana ule watu wakamfaa kumpa nafasi kubwa zaidi ya uraisi wa Zanzibar na baadae uraisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hautakuwa waajabu kupisha na kuwaachia wengine ili kulinda hishma yako bwana mkubwa. Wala hautakuwa wa kwanza kufanya hivyo.

Jina la Rais wetu limechafuka kila sehemu, ni wewe pekee utaweza kulisafisha kwa kuachia nafasi yako kutokana na matukio yanayoendelea Nchi nzima ya mauwaji na utekaji. Huwenda usiwe muhusika wa moja kwa moja na matukio haya, lakini matukio yanayoendelea yanaigusa wizara unayoiongoza moja kwa moja.

Muungwana akivuliwa nguo huchutama, hakuna mwenye shaka juu ya uungwana wako Bwana mkubwa, hebu chutama sasa utamalaki uungwana wako.

Nakukumbusha tu waislamu wana neno lao husema
“Man satara musliman satarallahu Yaumul Qiyama “

Soma Pia:

Wasalaam.
Ilitakiwa mapema afanye vile ila kwa sasa hata akifanya haina impact yoyote,

Lakini je ni waziri pekee angetakiwa awe amejiudhuru ? Yule kamanda aliongoza piga wapinzani mbeya anafanya nini?
 
Ilitakiwa mapema afanye vile ila kwa sasa hata akifanya haina impact yoyote,

Lakini je ni waziri pekee angetakiwa awe amejiudhuru ? Yule kamanda aliongoza piga wapinzani mbeya anafanya nini?
kwanini ajiuzulu?

kwahiyo ikitokea changamoto suluhisho ni kujiuzulu? kwani kapewa hiyo kazi kwajili ya kujiuzulu?🐒
 
Kwani Polisi wametenda kosa lipi?
1. Polisi kushiriki kwenye vitendo vya utekaji na mauaji.

2. Jeshi la polisi kuwalinda watekaji

3. Polisi kushindwa kuwalinda wananchi

4. Jeshi la polisi kushindwa kuwakamata watekaji na wauaji, ambao kimsingi baadhi yao ni polisi.

5. Polisi kutumika kama taasisi ya CCM ya kutekeleza uharamia dhidi ya wapinzani wao wa kisiasa na wanaharakati, kwa kuteka na kuua

6) Polisi kugeuka kuwa kundi la maharamia dhidi ya wananchi badala ya kuwa chombo cha usalama wa wananchi.
 
Siku utakaporudiwa na akili, ndiyo utajua kwa nini viongozi huwa wanajiuzulu wanapokuwa wameshindwa kutimiza wajibu wao wa kuzisimamia taasisi zilizo chini yao.

Kwa sasa, damu za watu zi.ekuondolea ufahamu, huwezi kujua chochote.
 
Mheshimiwa Hamad Yusuph Masauni, waziri wa mambo ya ndani, ujumbe wangu kwako leo ni mfupi tu. Huwenda usikuchukue hata dakika 5 kuusoma kwasababu siku hizi hata simu zangu hushiki tena.

Huwenda umesahau Wacha nikukumbushe, wizara unayoongoza ndiyo wizara iliyo na mawaziri wengi zaidi katika historia kuliko wizara yeyote Nchini na mawaziri asilimia zaidi ya 90 wameongoza wizara hiyo kwa miaka chini ya mitatu yaani mwaka mmoja hadi miaka miwili .

Wengi wao walitenguliwa na baadhi yao walijuzulu kılinda hishma zao na kumlinda Boss wao (Mh. Raisi).
Hii inadhihirisha ni namna gani unaongoza wizara yenye moto mkali ndani na nje.

Moja ya watangulizi wako ni Ali Hassan Mwinyi, Alijiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani kulinda hishma wake na hishma ya Rais wake, lakini kutokana na uungwana ule watu wakamfaa kumpa nafasi kubwa zaidi ya uraisi wa Zanzibar na baadae uraisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hautakuwa waajabu kupisha na kuwaachia wengine ili kulinda hishma yako bwana mkubwa. Wala hautakuwa wa kwanza kufanya hivyo.

Jina la Rais wetu limechafuka kila sehemu, ni wewe pekee utaweza kulisafisha kwa kuachia nafasi yako kutokana na matukio yanayoendelea Nchi nzima ya mauwaji na utekaji. Huwenda usiwe muhusika wa moja kwa moja na matukio haya, lakini matukio yanayoendelea yanaigusa wizara unayoiongoza moja kwa moja.

Muungwana akivuliwa nguo huchutama, hakuna mwenye shaka juu ya uungwana wako Bwana mkubwa, hebu chutama sasa utamalaki uungwana wako.

Nakukumbusha tu waislamu wana neno lao husema
“Man satara musliman satarallahu Yaumul Qiyama “

Soma Pia:

Wasalaam.

Kujiuzulu Africa sio rahisi hata kama unataka
 
Nadhan ni muhimu zaidi waziri na RAIS wakajizatiti zaidi kulinda usalama wa watu, mali na makazi yao.

Na kwa nguvu zote na kwa gharma yoyote ile walinde umoja, amani na utulivu waTanzania, hapana kukukimbia matatizo ni kuchapa kazi tu.

kujiuzulu ni kukimbia matatizo. Ni utamaduni wa kizamani usiokua na maana au faida yoyote ile. Kwani waziri aliteulia mambo ya ndani akacheze rede au kunywa kahawa?

Kusudi la yeye kupewa kazi ile ni kudeal na changamoto za kiusalama kama zilizojitokeza, sio kujiuzulu linapotokea Tatizo na kulinda majina ambayo hayana maana yoyote 🐒
Na kama hatekelezi hayo uliyosema?
 
1. Polisi kushiriki kwenye vitendo vya utekaji na mauaji.

2. Jeshi la polisi kuwalinda watekaji

3. Polisi kushindwa kuwalinda wananchi

4. Jeshi la polisi kushindwa kuwakamata watekaji na wauaji, ambao kimsingi baadhi yao ni polisi.

5. Polisi kutumika kama taasisi ya CCM ya kutekeleza uharamia dhidi ya wapinzani wao wa kisiasa na wanaharakati, kwa kuteka na kuua

6) Polisi kugeuka kuwa kundi la maharamia dhidi ya wananchi badala ya kuwa chombo cha usalama wa wananchi.
acha uposhaji gentleman,
acheni kutoa watu kafara ndani ya chama chenu, na kuchukua watu misukule na kusingizia wengine vitu vinginevyo 🐒
 
acha uposhaji bwana,
acheni watu kafara ndani ya chama chenu, na kuchukua watu misukule na kusingizia wengine vitu vingine 🐒
Unaweza kuwapa somo hapa jinsi wanavyoichukua misukule?
Maana inaonekana unauzofu kidogo Mkuu!
Wape somo wajione wako uchi hao
 
Mheshimiwa Hamad Yusuph Masauni, waziri wa mambo ya ndani, ujumbe wangu kwako leo ni mfupi tu. Huwenda usikuchukue hata dakika 5 kuusoma kwasababu siku hizi hata simu zangu hushiki tena.

Huwenda umesahau Wacha nikukumbushe, wizara unayoongoza ndiyo wizara iliyo na mawaziri wengi zaidi katika historia kuliko wizara yeyote Nchini na mawaziri asilimia zaidi ya 90 wameongoza wizara hiyo kwa miaka chini ya mitatu yaani mwaka mmoja hadi miaka miwili .

Wengi wao walitenguliwa na baadhi yao walijuzulu kılinda hishma zao na kumlinda Boss wao (Mh. Raisi).
Hii inadhihirisha ni namna gani unaongoza wizara yenye moto mkali ndani na nje.

Moja ya watangulizi wako ni Ali Hassan Mwinyi, Alijiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani kulinda hishma wake na hishma ya Rais wake, lakini kutokana na uungwana ule watu wakamfaa kumpa nafasi kubwa zaidi ya uraisi wa Zanzibar na baadae uraisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hautakuwa waajabu kupisha na kuwaachia wengine ili kulinda hishma yako bwana mkubwa. Wala hautakuwa wa kwanza kufanya hivyo.

Jina la Rais wetu limechafuka kila sehemu, ni wewe pekee utaweza kulisafisha kwa kuachia nafasi yako kutokana na matukio yanayoendelea Nchi nzima ya mauwaji na utekaji. Huwenda usiwe muhusika wa moja kwa moja na matukio haya, lakini matukio yanayoendelea yanaigusa wizara unayoiongoza moja kwa moja.

Muungwana akivuliwa nguo huchutama, hakuna mwenye shaka juu ya uungwana wako Bwana mkubwa, hebu chutama sasa utamalaki uungwana wako.

Nakukumbusha tu waislamu wana neno lao husema
“Man satara musliman satarallahu Yaumul Qiyama “

Soma Pia:

Wasalaam.
Kwani Mkuu sianafanya kazi nzuri kuhakikisha wanaondamana hawapati mwanya Mkuu

Na kuwapoteza wale wote wanaoleta chokochokooo au hajafanikiwa.
Bosi wake siamesema anafanya kazi nzuri.
 
Naunga mkono hoja 100%, ..hivi siku hizi huko Serikalini na chamani WAZEE wameisha??
 
Unaweza kuwapa somo hapa jinsi wanavyoichukua misukule?
Maana inaonekana unauzofu kidogo Mkuu!
Wape somo wajione wako uchi hao
waandamizi wao ndio kamati maridadi ya ufundi kwenye eneo hilo 🐒
 
Kwani Polisi wametenda kosa lipi?
Polisi hawajatenda kosa lolote wanafanya kazi nzuri. Wauaji wa Mzee Kibao wamekamatwa, Watekaji wa Sativa wamekatwa, Wakina Soka wamejulikana walipo. Inshort wanaupiga mwingi.
 
Polisi hawajatenda kosa lolote wanafanya kazi nzuri. Wauaji wa Mzee Kibao wamekamatwa, Watekaji wa Sativa wamekatwa, Wakina Soka wamejulikana walipo. Inshort wanaupiga mwingi.
Mbona sikuelewi Mkuu??
 
Back
Top Bottom