Roving Journalist JF Roving Journalist Joined Apr 18, 2017 Posts 3,984 Reaction score 13,760 May 30, 2024 #1 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni na Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, leo tarehe 30/5/2024 wamewasili Mkoani Mara kuelekea Wilaya ya Tarime kwenye mgogoro Kati ya Wananchi na Wamiliki wa Mgodi wa North Mara. Pia soma Nyamongo Kuna Shida gani na Wawekezaji wa Mgodi wa North Mara Kiasi kwamba Vurugu Zinazokatisha Maisha ya Watu Hazikomi? Ufisadi mkubwa kwenye mchakato wa kuwalipa fidia wananchi wanaozunguka mgodi wa North Mara Mfanyakazi wa Mgodi wa North Mara adaiwa kuuawa kwa kupigwa risasi ============ ============= Your browser is not able to display this video.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni na Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, leo tarehe 30/5/2024 wamewasili Mkoani Mara kuelekea Wilaya ya Tarime kwenye mgogoro Kati ya Wananchi na Wamiliki wa Mgodi wa North Mara. Pia soma Nyamongo Kuna Shida gani na Wawekezaji wa Mgodi wa North Mara Kiasi kwamba Vurugu Zinazokatisha Maisha ya Watu Hazikomi? Ufisadi mkubwa kwenye mchakato wa kuwalipa fidia wananchi wanaozunguka mgodi wa North Mara Mfanyakazi wa Mgodi wa North Mara adaiwa kuuawa kwa kupigwa risasi ============ ============= Your browser is not able to display this video.
Dr Matola PhD JF-Expert Member Joined Oct 18, 2010 Posts 60,050 Reaction score 104,466 May 30, 2024 #2 Tukitaka kuwa wakweli wananchi ndio tatizo na tegesha zao pamoja na kuvamia mgodi.