Waziri Mchengerwa: Fedha za mikopo za asilimia 10 ni za moto, tusisikie vikundi hewa

Waziri Mchengerwa: Fedha za mikopo za asilimia 10 ni za moto, tusisikie vikundi hewa

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa amewaelekeza Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kusimamia utoaji wa asilimia 10 ya mikopo ya halmashauri ili kusiwepo na vikundi hewa na kusema wilaya na mikoa itakayogunduliwa kuwepo kwa vikundi hewa watawajibishwa

“Fedha za mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu ni za moto na kiongozi wa mkoa, wilaya na halmashauri atakayebainika eneo lake kuwa na kikundi hewa atawajibishwa”

 
Back
Top Bottom