LGE2024 Waziri Mchengerwa jiuzulu, umeshindwa kusimamia mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa

LGE2024 Waziri Mchengerwa jiuzulu, umeshindwa kusimamia mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Waziri Mchengerwa ni kiongozi ulijibebea sifa nyingi kutokana na utendaji wako

Hivyo Kwa tu wa chini yako kuharibu mchakato huu muhimu Kwa maendelea ya vijiji na Miata ni busara achia ngazi.

Mchakato umegubikwa na upuuzi ufuatao

1. Kuandikisha watoto chini ya umri wa 18

Watoto wa kigamboni walilalamika kujishangaa kujiaona wameandikwa kwenye majina ya wapiga kura ilihali Bado wako darasa la 7 na wengine form 2

Nina Imani hizi taarifa uliziona lakini hukuja Kwa umma kutwambia ulichukua hatua Gani

2. Kuandikisha watu wasiokuwepo

3. Waandikishaji kutokuwepo baadhi ya vituo

4.vituo kuwa kwenye majengo ya CCM

5.waandikishaji kupewa idadi ya kuandika

Mfano Kuna Halmashari ziliahiza kila mwandikishaji aje na watu 750

6. Watendaji wa mtaa/ vijiji kukimbia ofisi siku za kurejesha na kuchukua form Kwa wagombea

7 vituko vinavikuja ni kwenye kuhuesabu, hujuma na wizi wa kura

Sisi kama wana CCM tunataka uchaguzi huru na haki. Wagombea wetu wapate ushindani, tupate changamoto nzuri, sio tubebwe tu.

Soma Pia: Waziri Mchengerwa afafanua kuhusu mchakato wa Uchaguzi wa Serikali za Mtaa utakaofanyika Novemba 27,

Nakuomba Waziri Mchengerwa Fanya uamzi makini achia ofisi za umma, Sio mpaka Rais wetu akutumbue
 
Hukumbuki maneno yake kwa mara ya kwanza alipoteuliwa uwaziri kabla ya kuchezeshwa kekundu kwa keusi(kufanyika hadaa za kumuhamisha na kisha kurejeshwa TAMISEMI)?Aliahidi kufanya kweli katika chaguzi.
Nimekuelewa sana mkuu
 
Watu wa Ngara hata uraia wao ni mgumu kuufahamu, sembuse ushauri wao! Kuna uchawi mwingi, wewe ni wa Mugoma?
 
Waziri Mchengerwa ni kiongozi ulijibebea sifa nyingi kutokana na utendaji wako

Hivyo Kwa tu wa chini yako kuharibu mchakato huu muhimu Kwa maendelea ya vijiji na Miata ni busara achia ngazi.

Mchakato umegubikwa na upuuzi ufuatao

1. Kuandikisha watoto chini ya umri wa 18

Watoto wa kigamboni walilalamika kujishangaa kujiaona wameandikwa kwenye majina ya wapiga kura ilihali Bado wako darasa la 7 na wengine form 2

Nina Imani hizi taarifa uliziona lakini hukuja Kwa umma kutwambia ulichukua hatua Gani

2. Kuandikisha watu wasiokuwepo

3. Waandikishaji kutokuwepo baadhi ya vituo

4.vituo kuwa kwenye majengo ya CCM

5.waandikishaji kupewa idadi ya kuandika

Mfano Kuna Halmashari ziliahiza kila mwandikishaji aje na watu 750

6. Watendaji wa mtaa/ vijiji kukimbia ofisi siku za kurejesha na kuchukua form Kwa wagombea

7 vituko vinavikuja ni kwenye kuhuesabu, hujuma na wizi wa kura

Sisi kama wana CCM tunataka uchaguzi huru na haki. Wagombea wetu wapate ushindani, tupate changamoto nzuri, sio tubebwe tu.

Soma Pia: Waziri Mchengerwa afafanua kuhusu mchakato wa Uchaguzi wa Serikali za Mtaa utakaofanyika Novemba 27,

Nakuomba Waziri Mchengerwa Fanya uamzi makini achia ofisi za umma, Sio mpaka Rais wetu akutumbue
Acha siasa za kishamba, Chadema haifanyi vya kutosha kushika mioyo na Imani ya wapiga Kura. Jishikilie
 
Acha siasa za kishamba, Chadema haifanyi vya kutosha kushika mioyo na Imani ya wapiga Kura. Jishikilie
Wapi huu Uzi nimetaja chadema
Vyama vyote vifanyiwe haki iwe act, chadema, CCM, chauma
 
Waziri Mchengerwa ni kiongozi ulijibebea sifa nyingi kutokana na utendaji wako

Hivyo Kwa tu wa chini yako kuharibu mchakato huu muhimu Kwa maendelea ya vijiji na Miata ni busara achia ngazi.

Mchakato umegubikwa na upuuzi ufuatao

1. Kuandikisha watoto chini ya umri wa 18

Watoto wa kigamboni walilalamika kujishangaa kujiaona wameandikwa kwenye majina ya wapiga kura ilihali Bado wako darasa la 7 na wengine form 2

Nina Imani hizi taarifa uliziona lakini hukuja Kwa umma kutwambia ulichukua hatua Gani

2. Kuandikisha watu wasiokuwepo

3. Waandikishaji kutokuwepo baadhi ya vituo

4.vituo kuwa kwenye majengo ya CCM

5.waandikishaji kupewa idadi ya kuandika

Mfano Kuna Halmashari ziliahiza kila mwandikishaji aje na watu 750

6. Watendaji wa mtaa/ vijiji kukimbia ofisi siku za kurejesha na kuchukua form Kwa wagombea

7 vituko vinavikuja ni kwenye kuhuesabu, hujuma na wizi wa kura

Sisi kama wana CCM tunataka uchaguzi huru na haki. Wagombea wetu wapate ushindani, tupate changamoto nzuri, sio tubebwe tu.

Soma Pia: Waziri Mchengerwa afafanua kuhusu mchakato wa Uchaguzi wa Serikali za Mtaa utakaofanyika Novemba 27,

Nakuomba Waziri Mchengerwa Fanya uamzi makini achia ofisi za umma, Sio mpaka Rais wetu akutumbue
Mkaza Mwana!
 
Chadema jipangeni na kuwaandaa wanachama wenu na mashabiki wenu kupiga Kura, huku kulia lia mtandaoni hakuna tija. BTW Chadema kilisema hakitashiriki uchaguzi wowote chini ya katiba hii
Kwenye hoja za mtoa mada onesha hoja ambayo si kweli🤣
Suala la chadema halina uhusiano hapo
 
Chadema jipangeni na kuwaandaa wanachama wenu na mashabiki wenu kupiga Kura, huku kulia lia mtandaoni hakuna tija. BTW Chadema kilisema hakitashiriki uchaguzi wowote chini ya katiba hii
Mkuu mambo ya chadema weka pembeni tujadili mada za mtoa hoja
 
Waziri Mchengerwa ni kiongozi ulijibebea sifa nyingi kutokana na utendaji wako

Hivyo Kwa tu wa chini yako kuharibu mchakato huu muhimu Kwa maendelea ya vijiji na Miata ni busara achia ngazi.

Mchakato umegubikwa na upuuzi ufuatao

1. Kuandikisha watoto chini ya umri wa 18

Watoto wa kigamboni walilalamika kujishangaa kujiaona wameandikwa kwenye majina ya wapiga kura ilihali Bado wako darasa la 7 na wengine form 2

Nina Imani hizi taarifa uliziona lakini hukuja Kwa umma kutwambia ulichukua hatua Gani

2. Kuandikisha watu wasiokuwepo

3. Waandikishaji kutokuwepo baadhi ya vituo

4.vituo kuwa kwenye majengo ya CCM

5.waandikishaji kupewa idadi ya kuandika

Mfano Kuna Halmashari ziliahiza kila mwandikishaji aje na watu 750

6. Watendaji wa mtaa/ vijiji kukimbia ofisi siku za kurejesha na kuchukua form Kwa wagombea

7 vituko vinavikuja ni kwenye kuhuesabu, hujuma na wizi wa kura

Sisi kama wana CCM tunataka uchaguzi huru na haki. Wagombea wetu wapate ushindani, tupate changamoto nzuri, sio tubebwe tu.

Soma Pia: Waziri Mchengerwa afafanua kuhusu mchakato wa Uchaguzi wa Serikali za Mtaa utakaofanyika Novemba 27,

Nakuomba Waziri Mchengerwa Fanya uamzi makini achia ofisi za umma, Sio mpaka Rais wetu akutumbue
Mkuu hizi dosari zote ulizoelezea hayo ni maagizo binafsi ya Mchengerwa kwa wakurugenzi nao wakayashusha kwa watendaji,hakuna hata moja llililotokea kwa bahati mbaya,ni maagizo yake.
 
Msimamo wangu ni ule ule bila katiba mpya na tume huru ya uchaguzi sipigi kura Wala kupoteza muda niujinga na kujihangaisha Bure!
 
Chadema jipangeni na kuwaandaa wanachama wenu na mashabiki wenu kupiga Kura, huku kulia lia mtandaoni hakuna tija. BTW Chadema kilisema hakitashiriki uchaguzi wowote chini ya katiba hii
Sasa kama wananyimwa kuchukua na kurudisha form watapigiwaje kura? Na ukiona hivyo ujue CCM wamenusa hatari ya kushindwa ndiyo maana wanatumia mbinu za Fascist Magufuli.
 
Back
Top Bottom