Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Waziri Mohamed Mchengerwa hivi karibuni amedokeza kuwa malalamiko yanayoendelea hivi sasa kwenye Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa kwa wingi wake ni propaganda zisizo na msingi.
Soma pia: Waziri Mchengerwa: Hakuna Uthibitisho wa madai ya Uandikishaji Wanafunzi Kupiga Kura
Wakati anazungumza na vyombo vya habari kuhusu mchakato wa kuchukua, kurejesha, uteuzi pamoja na rufaa za wagombea katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, Mchengerwa alisema kuwa:
"Acheni kufanya 'Propaganda' zisizo na ukweli na zinaweza kuleta taharuki inayoweza kudababisa uvunjifu wa amani, ni vyema kuendeleza kueleza Umma wa Watanzania ukweli na uhalisia wa vyama vya siasa katika uchaguzi huu wa Serikali za mitaa, vijiji na vitongoji"
Source: Michuzi Blog
Waziri Mohamed Mchengerwa hivi karibuni amedokeza kuwa malalamiko yanayoendelea hivi sasa kwenye Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa kwa wingi wake ni propaganda zisizo na msingi.
Soma pia: Waziri Mchengerwa: Hakuna Uthibitisho wa madai ya Uandikishaji Wanafunzi Kupiga Kura
Wakati anazungumza na vyombo vya habari kuhusu mchakato wa kuchukua, kurejesha, uteuzi pamoja na rufaa za wagombea katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, Mchengerwa alisema kuwa:
"Acheni kufanya 'Propaganda' zisizo na ukweli na zinaweza kuleta taharuki inayoweza kudababisa uvunjifu wa amani, ni vyema kuendeleza kueleza Umma wa Watanzania ukweli na uhalisia wa vyama vya siasa katika uchaguzi huu wa Serikali za mitaa, vijiji na vitongoji"
Source: Michuzi Blog