Waziri Mohamed Mchengerwa hivi karibuni amedokeza kuwa malalamiko yanayoendelea hivi sasa kwenye Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa kwa wingi wake ni propaganda zisizo na msingi.
Wakati anazungumza na vyombo vya habari kuhusu mchakato wa kuchukua, kurejesha, uteuzi pamoja na rufaa za wagombea katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, Mchengerwa alisema kuwa:
"Acheni kufanya 'Propaganda' zisizo na ukweli na zinaweza kuleta taharuki inayoweza kudababisa uvunjifu wa amani, ni vyema kuendeleza kueleza Umma wa Watanzania ukweli na uhalisia wa vyama vya siasa katika uchaguzi huu wa Serikali za mitaa, vijiji na vitongoji"
Kwa sasa hivi hapa Tanzania Mohamed Mchengerwa ndiye adui mkubwa wa demokrasia na lolote litakalotokea kutokana na ushenzi aliofanya kwenye mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa lawama zote atabeba yeye na uzao wake wote. Ni jitu la hovyo,lenye roho mbaya kumzidi ibilisi. Alaaniwe Mchengerwa na uzao wake wote,lolote mbaya limpate .
Kwa sasa hivi hapa Tanzania Mohamed Mchengerwa ndiye adui mkubwa wa demokrasia na lolote litakalotokea kutokana na ushenzi aliofanya kwenye mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa lawama zote atabeba yeye na uzao wake wote. Ni jitu la hovyo,lenye roho mbaya kumzidi ibilisi. Alaaniwe Mchengerwa na uzao wake wote,lolote mbaya limpate .