Shule hii kidato Cha I-VI, shule imepelekewa wanafunzi 400+ wa kidato cha tano huku hakuna miundombinu inayotosheleza kupokea idadi hiyo ya wanafunzi.
Shule ni kama imetelekezwa hakuna anayejali, watoto wetu wanalala chini, umeme hakuna shule ipo gizani wakati ipo porini, shule haina walimu wa kutosha kuwahudumia idadi kubwa ya wanafunzi, shule haina miundo mbinu ya maji, wanafunzi wanachota maji porini, nimemtembelea mdogo wangu hali niliyoikuta ni zaidi ya kile nilichokieleza hapo juu.
Nakuomba waziri Mchengerwa uwaokoe watoto wetu wanateseka, ikibidi ufike shuleni kabisa ujionee, usiwasikilize. Viongozi wa Mkuranga ikiwemo Afisa Elimu, Mkurugenzi na Mkuu wa Wilaya watakudanganya.
Fika shuleni uongee na wanafunzi au walimu.
Shule ni kama imetelekezwa hakuna anayejali, watoto wetu wanalala chini, umeme hakuna shule ipo gizani wakati ipo porini, shule haina walimu wa kutosha kuwahudumia idadi kubwa ya wanafunzi, shule haina miundo mbinu ya maji, wanafunzi wanachota maji porini, nimemtembelea mdogo wangu hali niliyoikuta ni zaidi ya kile nilichokieleza hapo juu.
Nakuomba waziri Mchengerwa uwaokoe watoto wetu wanateseka, ikibidi ufike shuleni kabisa ujionee, usiwasikilize. Viongozi wa Mkuranga ikiwemo Afisa Elimu, Mkurugenzi na Mkuu wa Wilaya watakudanganya.
Fika shuleni uongee na wanafunzi au walimu.