KERO Waziri Mchengerwa, sisi walimu wa Wilaya ya Busega tunaomba msaada wako juu ya Mkurugenzi wa Wilaya

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Unamwongelea Kachoma yupi,au huyu anayejinasibu kuwa alikuwa mfanyakazi wa ikulu,?
 
Mmezidi kulalamika. Halafu kwenye uchaguzi mnapewa vijilaki mnasahau shida zenu na kusheherekea raha za muda mfupi. Huyo mkurugenzi muendeeni Gamboshi hapo mmalizane nae.
 
Mmezidi kulalamika. Halafu kwenye uchaguzi mnapewa vijilaki mnasahau shida zenu na kusheherekea raha za muda mfupi. Huyo mkurugenzi muendeeni Gamboshi hapo mmalizane nae.
Tutamalizana kisheria tu
 
Kazi hawezi wafukuza, TSC ndiyo anafukuza.kusimamia mitihani sio lazima,uchaguzi mkuu atawaita tu.la msingi fanyeni kazi kufuata Sheria.shughuli za chama fanyeni weekend.
 
Kazi hawezi wafukuza, TSC ndiyo anafukuza.kusimamia mitihani sio lazima,uchaguzi mkuu atawaita tu.la msingi fanyeni kazi kufuata Sheria.shughuli za chama fanyeni weekend.
Umesoma kilichoandikwa na kiambatanisho Chake,au wewe ni miongoni mwa watoa ushauri bila kumsikiliza client wako?
 
Serikali iingilie kati kwani baadhi ya watendaji wake wanavuruga amani na kushusha morali ya watumishi
 
Jambo lipo kisheria kwanini anapata kigugumizi kulitekeleza?
Hadi katibu mkuu kiongozi ikulu amemwambia alitekekeleze,lakini toka mwezi wa 11 Hadi Muda huu Bado,huyu jamaa Kachoma anajeuri sana sijawahi ona,serikali iingilie kati
 
Why!? Unachuki na Mwalimu?
Mtu yoyote ambaye anashindwa kutumia akili zake kama walimu nawachukia. Hawa walimu WANAJUA TU KUIBA KURA alafu wanakuja kututilia huruma. Wacha yanyooshwe tu hayana Maana yananunulika kwa ten ten
 
Tatizo la nchi hii ni mfumo, huyo anaweza akawa kipenzi(mtu wa karibu) wa mheshimiwa hivyo anajua hawa wengine hawana jeuri na ikizidi sana ni anahamishwa tu kitengo.

"Ukiona swala anatembea kwa maringo mbugani ujue simba ndio bwana wake."
 
Tatizo la nchi hii ni mfumo, huyo anaweza akawa kipenzi(mtu wa karibu) wa mheshimiwa hivyo anajua hawa wengine hawana jeuri na ikizidi sana ni anahamishwa tu kitengo.

"Ukiona swala anatembea kwa maringo mbugani ujue simba ndio bwana wake."
Inauma sana,huyu mkurugenzi Kachoma anadai amewahi kuwa mwalimu lakini tabia na mienendo yake haifai, ni mtu mwenye kiburi na ubabe,nadhani serikali itatisaidia juu ya huyu bwana
 
Anadharau kwa mamlaka yake ya Uteuzi na wale anaowatumikia. Utaratibu wa kutumbua majipu urudiwe
 
Anadharau kwa mamlaka yake ya Uteuzi na wale anaowatumikia. Utaratibu wa kutumbua majipu urudiwe
Ni kweli,toka apewe maelekezo Leo ni miezi takribani mitatu,Sasa unabaki kujiuliza je huyu mkurugenzi ni mkubwa kuliko mamlaka yake ya uteuzi au ni kiburi Cha madaraka?
 
Serikali imshinikize Kachoma mwezi huu a tutor CWT mapema sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…