Waziri Mchengerwa: Ukipata nafasi ya kazi nenda kafanye usiku na mchana

Waziri Mchengerwa: Ukipata nafasi ya kazi nenda kafanye usiku na mchana

upupu255

Senior Member
Joined
Sep 4, 2024
Posts
119
Reaction score
144
Ukipata nafasi ya kazi, ukatumwa kazi nenda ukaifanye usiku na mchana, Watanzania wanawategemea ninyi kwa sababu sehemu kubwa ya nchi yetu iko chini ya TAMISEMI’

Mhe. Mohamed Mchengerwa akifungua mafunzo ya kukabiliana na msongo wa mawazo kwa wafanyakazi wa Ofisi ya Rais - TAMISEMI.

 
Back
Top Bottom