Jamani eti nyepesi ni kuwa Waziri mpya mkubwa ni mjane na mke alietambulishwa na waandishi si mke wake wa ndoa?
(I hope it is not true)
Jamani eti nyepesi ni kuwa Waziri mpya mkubwa ni mjane na mke alietambulishwa na waandishi si mke wake wa ndoa?
Kama ni kweli, hivi ni lazima kuwa na spouse ukiwa na wadhifa kama ule?
Manake nasikia kuna watu wamelizwa huko Dom, hawajui jinsi ya kuanza maisha baada ya sera mpya wa Waziri huyo.
(I hope it is not true)
Thanks guys,
actually i am not so new, I just changed my user name.
nadhani itakuwa vizuri kama ni mkewe. natumani hizo rumours zitaisha mara moja, hazipendezi, na hazina maana.
just another block infront of his hard work ahead.