Waziri mkuchika na waalimu waliolipwa wakatokomea

Campana

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2008
Posts
207
Reaction score
40
Waziri Mkuchika amewataka waalimu waliolipwa fedha za serikali kisha wakatoweka vituoni kuzirejesha.

Jambo hili ni gumu kwa serikali kulifuatilia, sawa na mikopo kwa wanavyuo walio kwenye sekta binafsi.

Nadhani serikali inatakiwa kuboresha mazingira ili yawavutie waalimu wapya badala ya kuwatisha. Shule binafsi zinawahitaji, na wengine wanabadilisha taaluma kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…