Waziri Mkuu aagiza kila Taasisi ya Umma kutenga Fedha katika bajeti ili kulipa fidia za ardhi

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
DODOMA: Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amezielekeza Taasisi zote nchini kutenga Fedha katika Bajeti zao kwaajili ya kulipa fidia kabla ya kuanza zoezi la utoaji wa Ardhi kama inavyoelekezwa katika Waraka wa Uthamini wa Fidia namba moja wa Mwaka 2024
-
Kauli ya Waziri Mkuu inakuja wakati ambao kumekuwa na malalamiko ya Wadau mbalimbali wa JamiiForums.com ambao ardhi zao zilichukuliwa kwaajili ya kutumika katika ujenzi wa Miradi mbalimbali lakini wamekuwa wakicheleweshewa malipo ya Fidia
Your browser is not able to display this video.


=====

Waraka wa Uthamini wa Fidia namba moja wa Mwaka 2024

 
Magufuli ni mzima anawasalimu sana, anachapa kazi

msimuamini kasim
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…