Heshima yako Kabaridi,
....mbona hii habari ni ya kitambo tu sana? Ama nd'o mtindo wako wa siku hizi kufukua nyuzi za tenee?...:biggrin:
...Anyway Agwambo had the last laugh on this matter...Gbagbo wa KO'd and is now a resident at The Hague na Ping
nadhani yupo yupo tu. Meanwhile Raila remains the PM of Kenya...au sio?
Swadaktaa.
Namkubali sana agwambo,i wish angekuwa pm wetu hapa tz.mbona mawaziri wangenyooka.