Uko sahihi sana mkuu, ila tatizo ni kuwa watu wanaangalia ni nani alienunua (Alie-place Orde), na sio ni nani alie-request. Nina uhakika kwa utaratibu wa serikali, lazima hapo wilayani kuna "Procurement committee", ambayo ilihusika. Kuna pia Engineer alietoa specifications; kuna pia "Receiceving committee" ambo waiopokea na ku-confirm kuwa hivyo vigae vinaendana na "request" na "Purchase Order". Ila sasa "likipinda" kila mtu anatafuta jinsi ya kujitoa na kumsukumia mwenzake.