Waziri Mkuu Kassim Majaliwa avamia mwendokasi, ahoji mapato yalipo kama wanashindwa kununua mabasi. Mkurugenzi wa fedha atumbuliwa

Huu mradi yaani umekua jinamizi kwa wakaazi wa Dar, japo MATAGA huwa yanasifia humu. Naomba sana tusije kurudia makosa ya Tanzania, tuwe makini sana na kutumia ubongo sio ujinga na ubabe usio na tija.
Mokosa yepi yaliyofanyika? Mbona hujayataja?
 
Huu mradi yaani umekua jinamizi kwa wakaazi wa Dar, japo MATAGA huwa yanasifia humu. Naomba sana tusije kurudia makosa ya Tanzania, tuwe makini sana na kutumia ubongo sio ujinga na ubabe usio na tija.

WHATEVER YOU SAY MKOPO WA WORLD BANK UPO PALE PALE, LAZIMA ULIPWE.!
 
Yani Afria sjui tukoje aisee, sijajua mpaka sasa jambo gani tunaweza lifanya Kwa usahihi.

Yani mradi wa Mwendokasi unakufa na wasimamizi wako kabisa halafu baadaye kwenye makongamano wanasimama kusema wazungu wanatuhujumu

Ifike wakati na vijana waaminiwe wapewe kusimamia miradi kama hii.
Your browser is not able to display this video.
 
Shamba la bibi hili, mtu akitenguliwa pahala analetwa hapa kuja kuchota za kujengea hekalu lake huko Mbweni, baaada ya mwaka anahamishwa tena anapewa ukuu wa moa analetwa mwengine naye achote tena.
 
Shamba la bibi hili, mtu akitenguliwa pahala analetwa hapa kuja kuchota za kujengea hekalu lake huko Mbweni, baaada ya mwaka anahamishwa tena anapewa ukuu wa moa analetwa mwengine naye achote tena.
Kweli kabisa hilo shamba la bibi

Ova
 
Kazi kazi.

Mapigaji yanataka kurudi.

Safi sana waziri mkuu
Miaka 60 imepita, kila pahala ni mtindo huu huu. Eti anatokea mtu na heshima zake akihoji- HIVI WEMYEWE HATUWEZI". Halafu waumini wake wakiitikia mwimbo huo kwa shangwe sanaaaa.

Ndugu zanguni, watanzania wenzangu wakati umefika wa kuchukua maamuzi magumu. Tuwaunge mkono viongozi wetu walio liona hilo na kuchukua hatua mbadala kabisa. Umejaribiwa na kupewa nyenzo zote umeshindwa. Kwanini tusigeuze muelekeo na kuwapa wengine wenye uzoefu wa kuendesha shughuli kama hizo hata kama wanatoka mataifa mengine?
 
Ukifanya hivyo, eti watatokea akina Mwambukusi na vikundi vyake na kupinga. Eti kwa kigezo kuwa wenyewe tunaweza. Kazi kweli kweli!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…