Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Waziri mkuu Kassim Majaliwa amewataka wananchi mkoani Lindi kujitokeza katika uchaguzi WA serikari za mtaa ili kuchagua viongozi watakao waongoza katika awamu ijayo.
Kassim majaliwa amesema hayo mkoani Lindi katika uwanja WA Majaliwa stadium katika fainali za Jimbo cup ambapo fainali ilikutanisha timu ya Kiwengwa FC na Stand united za mkoani Lindi, ambapo kiwenge FC imekuwa bingwa wa mashindano hayo.
Amesema kauli mbiu ya Jimbo cup inayosema Piga mpira Piga Kura hivyo llikupata kiongozi unaye muhitaji ni vyema ukaenda kupiga Kura ili umchague.
Kassim majaliwa amesema hayo mkoani Lindi katika uwanja WA Majaliwa stadium katika fainali za Jimbo cup ambapo fainali ilikutanisha timu ya Kiwengwa FC na Stand united za mkoani Lindi, ambapo kiwenge FC imekuwa bingwa wa mashindano hayo.
Amesema kauli mbiu ya Jimbo cup inayosema Piga mpira Piga Kura hivyo llikupata kiongozi unaye muhitaji ni vyema ukaenda kupiga Kura ili umchague.