Pre GE2025 Waziri Mkuu Majaliwa: Michango ya ovyo ovyo shuleni ambayo haina maelezo ikome

Pre GE2025 Waziri Mkuu Majaliwa: Michango ya ovyo ovyo shuleni ambayo haina maelezo ikome

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Serikali inapeleke fedha huko mashuleni?? Au ndio yaleyale ya kutaka waty watoe huduma wakati haijulikani nani analipia huduma hiyo.
 
Wakuu,

Zile mia mia na hela za michango ya mitihani na nyingine ambazo hazina maelezo yanayoeleweka toka kwa mkuu wa wilaya au mkurugenzi mjue ni usumbufu kwa wazazi.

Hapo mzazi akigoma kulipa mwanafunzi anachapwa au anaambiwa asiende shuleni, haya matamko ya kisiasa yanaharibu sana elimu nchini.

Soma Pia: Wazazi wa wanafunzi Shule ya Sekondari BUJUNANGOMA, tumechoka na Michango, Rushwa, Utumikishwaji wa watoto wetu shuleni


 
Back
Top Bottom