Pre GE2025 Waziri Mkuu Majaliwa unadhoofishwa kimkakati ulikuwa unaheshimika ila kadiri unavyoambatana nao na kucheza mziki wao unapoteza mvuto, stuka

Pre GE2025 Waziri Mkuu Majaliwa unadhoofishwa kimkakati ulikuwa unaheshimika ila kadiri unavyoambatana nao na kucheza mziki wao unapoteza mvuto, stuka

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
Kassim Majaliwa ulijijengea heshima yako kwa muda mrefu Sana ukaonekana ni mtu usiyekuwa masihara na hauna utani lakini naona unaanza kuambatana na kundi lisilo na mvuto nakuhakikishia heshima yako hii uliyojitengenezea itapotea mithili ya mchanga wa mwambao

watu wakubwa na heshima zenu mnaanza kuongea mambo ya fomu moja kwa kipindi hiki ambacho nchi inapitia changamoto ngumu na nzito kwa kweli mnawakosea Watanzania kwa nini ninyi mnawaza uchaguzi tuu? vipi Hali ya wananchi mnashughulika nayo vipi? tuwaelewe nini sisi wananchi tunawachagua mkawaze uchaguzi

Lakini hata hivyo huyo mama mnayemdanganya mnamchapishia fomu moja ni kwa idhini ya kikao gani ndani ya chama,?
 
Majaliwa ana akili na busara sana, genge la chato lilidhani litamtumia kukivuruga chama, amekataa kata kata, Polepole na Bashiru wamembembeleza atangaze nia, lakini amesema anaheshimu chama kilichomlea.

Hili ni pigo kubwa sana kwa Chato gang ambao wana kiu kali sana (unquenchable thirsty) ya madaraka.

Tuna imani ndani ya miaka mitano mingine, mfumo utakuwa umelifuta kabisa genge hilo. Eti Polepole anapelekwa ubalozi ukanda wa gaza akadundwe na mabomu ya israel?
 
Back
Top Bottom