Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema: "Tunapozungumzia kwenye ajira, Serikali nayo inawaangalia sana wanawake, pale ambapo kunakuwa na ushindani wa mwanamke na mwanaume, basi nafasi ya kwanza anapewa mwanamke. Hayo ni malengo ya Serikali ya kufikia 50/50."
Soma, Pia: Waziri Mkuu Majaliwa: Tanzania lazima ijiimarishe Kiuchumi ili kuepuka utegemezi kutoka mataifa mengine duniani