Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
si ungem2mia meseji privately!..,ss unataka wa2 wakoment nn kwa topic km hii
Copy ya Shukran peleka kwenye MINADA YA NG'OMBE,MABANDA YA NGURUWE,MASHAMBA DARASA YA VYAMA VYA WASHIRIKA n.k huko utawapata wadau zaidi kuliko huku ambao wapo wachache
Napendga kutoa pongezi ya dhati kwa pm sua,kwa jitihada anazofanya kusaidia wanafunzi mbalimbali wenye matatizo mfano-shida ya mkopo na walikuwa na shda ya kuhamishwa course....
thn nlisikia kuwa rais wenu amedisco nyny sua vp wm kweli??????
Haya kaa chuoni usome usiliwe kichwa
Chezea sua wewe
Yeah., it's advanced High school.this is school of asignment
Yeah., it's advanced High school.
umetisha mkuuu
Siyo hivo Kiogonzi, mwenyewe nimemaliza hapo kuna lecturer mmoja part time alikuwa anatoka Udsm alikuwa anapenda sana kuitumia hiyo kauli (SUA is Advanced high school), kwa sababu walikuwa wanachakachua matokeo yake ili waongeze sup., wenyewe wanaita ku-standardize kama watu wamefaulu sana wanawarudisha wengine kwenye D.
Siyo hivo Kiogonzi, mwenyewe nimemaliza hapo kuna lecturer mmoja part time alikuwa anatoka Udsm alikuwa anapenda sana kuitumia hiyo kauli (SUA is Advanced high school), kwa sababu walikuwa wanachakachua matokeo yake ili waongeze sup., wenyewe wanaita ku-standardize kama watu wamefaulu sana wanawarudisha wengine kwenye D.
hapa kweli, eti wanafunzi wakifaulu sana, mwalimu wa somo anaulizwa kwa nini wamefaulu sana, au kwa nini kuna A nyingi, kinachofuta E na D kibao.
Napenda kutoa pongezi ya dhati kwa pm sua,kwa jitihada anazofanya kusaidia wanafunzi mbalimbali wenye matatizo mfano-shida ya mkopo na walikuwa na shda ya kuhamishwa course....