Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Ni jambo jema na kubwa sana Mwafrika mwingine anaongezwa kwenye tuzo yenye heshima sana duniani ya Alfred Nobel.
Mpaka aasa Waafrika ninaowakumbuka ambao wamepata hii tuzo ni:
- Nelson Mandela
- Desmond Tutu
- Mathai Wangari
Waziri Mkuu huyu wa Ethiopia sasa anaingia katika orodha ya watu wanaoheshimika zaidi duniani.
Mungu ibariki Afrika.
Mpaka aasa Waafrika ninaowakumbuka ambao wamepata hii tuzo ni:
- Nelson Mandela
- Desmond Tutu
- Mathai Wangari
Waziri Mkuu huyu wa Ethiopia sasa anaingia katika orodha ya watu wanaoheshimika zaidi duniani.
Mungu ibariki Afrika.