Kaka yake shetani JF-Expert Member Joined Feb 1, 2023 Posts 5,771 Reaction score 14,732 Jun 30, 2024 #1 Afrika hivi hawa viongozi wanatoana vipi? Ali moses mwenye umri wa miaka 85 anataka kugombea tena huko uganda mwaka 2026
Afrika hivi hawa viongozi wanatoana vipi? Ali moses mwenye umri wa miaka 85 anataka kugombea tena huko uganda mwaka 2026
Mtoto halali na hela JF-Expert Member Joined Aug 10, 2012 Posts 52,160 Reaction score 48,974 Jun 30, 2024 #2 Madaraka matamu
Faana JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 38,657 Reaction score 44,759 Jun 30, 2024 #3 Kaka yake shetani said: Afrika hivi hawa viongozi wanatoana vipi? Ali moses mwenye umri wa miaka 85 anataka kumbea tena huko uganda. View attachment 3029704 Click to expand... Huyu wakimnyima atakufa kwa mshtuko
Kaka yake shetani said: Afrika hivi hawa viongozi wanatoana vipi? Ali moses mwenye umri wa miaka 85 anataka kumbea tena huko uganda. View attachment 3029704 Click to expand... Huyu wakimnyima atakufa kwa mshtuko
Mto Songwe JF-Expert Member Joined Jul 17, 2023 Posts 6,683 Reaction score 14,060 Jun 30, 2024 #4 Black Biden.
A Attack JF-Expert Member Joined Jun 29, 2022 Posts 894 Reaction score 1,608 Jun 30, 2024 #5 Kaka yake shetani said: Afrika hivi hawa viongozi wanatoana vipi? Ali moses mwenye umri wa miaka 85 anataka kugombea tena huko uganda. View attachment 3029704 Click to expand... Bwana wewe kuitwa mheshimiwa inanoga sana.......
Kaka yake shetani said: Afrika hivi hawa viongozi wanatoana vipi? Ali moses mwenye umri wa miaka 85 anataka kugombea tena huko uganda. View attachment 3029704 Click to expand... Bwana wewe kuitwa mheshimiwa inanoga sana.......
B Bush Dokta JF-Expert Member Joined Apr 11, 2023 Posts 24,831 Reaction score 45,154 Jun 30, 2024 #6 Kaka yake shetani said: Afrika hivi hawa viongozi wanatoana vipi? Ali moses mwenye umri wa miaka 85 anataka kugombea tena huko uganda.2026 View attachment 3029704 Click to expand... Washukuru westerners wanaowaweka. Kwa nguvu zao hata uwenyekiti wa mtaa hawawezi
Kaka yake shetani said: Afrika hivi hawa viongozi wanatoana vipi? Ali moses mwenye umri wa miaka 85 anataka kugombea tena huko uganda.2026 View attachment 3029704 Click to expand... Washukuru westerners wanaowaweka. Kwa nguvu zao hata uwenyekiti wa mtaa hawawezi
Jasmoni Tegga JF-Expert Member Joined Oct 28, 2020 Posts 12,624 Reaction score 24,751 Jun 30, 2024 #7 Kama Genzies wa huko hawako tayari kuyafanya kama wale wa Kenya, wao wafanyeje sasa?