Waziri Mkuu: Waliofariki kwa ajali ya Jengo kuporomoka wamefikia 16, majeruhi 86

Mtoa Taarifa

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2024
Posts
213
Reaction score
671
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Zoezi la uokoaji katika eneo la ajali ya kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo bado linaendelea na Mpaka sasa Watu 86 wameokolewa wakiwa hai huku Vifo vikiwa kumi na sita (16).

Waziri Mkuu ameeleza hayo leo Novemba 18 wakati akizungumza katika viwanja vya Mnazi Mmoja ambapo shughuli rasmi ya kuaga miili ya Marehemu hao inafanyika.

Your browser is not able to display this video.
 
Natamani nimlaumu Chalamila lakini basi ngoja tuhani msiba kwanza.
 
Hakika wamekufa kifo kikali sana yani kifo chenye maumivu makali sana Mwenyezi Mungu awape mapumziko mema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…