Waziri Mlugo Philip kujiuzulu ni sawa ila na waalimu wakaguliwe wana vyeti feki wengi

Waziri Mlugo Philip kujiuzulu ni sawa ila na waalimu wakaguliwe wana vyeti feki wengi

obeid666

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2012
Posts
1,279
Reaction score
9
Ndugu wanabodi
Nimeona nilete mada hii kwenye uwanja huu ili watu wajadili,ni nini chanzo cha kuporomoka kwa elimu Tanzania,wengi wametaka Waziri wa Elimu na naibu wake Philip Mlugo wajiuzulu mie naona kwamba kujiuzulu sio tatizo,tatizo ni hawa watu waliopewa jukumu la kuwafundisha hawa watoto,wenyewe wamefeli mitihani na walinunua vyeti kwa watu wengine,na wengine walinunua vyeti baada ya kufeli mitihani hivyo kununua vyeti hivyo,na ukitaka kuwabaini waite waalimu wote waambie waje na vyeti vyao vya mitihani na result slip kuonyesha kama kweli walifaulu masomo ya vyuo vya Ualimu,wengi utakuta wamenunua si vyao na vingine ni feki vimetengenezwa mitaani Dar lakini mtu kavitumia kupatia kazi
Ufaulu wa wanafunzi hasa shule za Msingi hauwezi kuwa mzuri sababu waalimu waliopo hawawezi kuwasaidia wanafunzi kufaulu,kuna maswali ambayo ukimuuliza Mwalimu wa Shule ya Msingi hawezi kukujibu hajui jibu,halafu ndio wanaopiga kelele wakati wengi wana vyeti vya kughushi lakini taifa linawaangalia
Waanze kukaguliwa waalimu kwanza kwani ndio chanzo cha wanafunzi kumaliza hawajui kusoma na kuandika na hasa mkoa wa Tanga Handeni waalimu wengi ni batili waliofoji vyeti na hawafai kuwa waalimu wa watoto
Philip Mulugo anaonewa tu yeye haingii darasani wanaoingia darasani ndio wameoza kabisa Mlugo kuifufua Elimu ya Tanzania wakague waalimu wote Tanzania utagundua uovu na uozo wa kutisha kwenye idara ya Elimu
 
sasa Mulugo atakaguaje walimu vyeti na wakati yeye mwenyewe cheti chake kina walakini??
 
Naona umekuja kumkingia kifua Mulugo! Hongera. Hii shutuma itamganda Mulugo kokote aendako (awe amejiuzulu zu laa), itamganda kama vile F za hesabu zilivyoganda kwenye vyeti vya watu.
Kwa taarifa yako tu, ukaguzi yakinifu ukifanyika nchi nzima takribani zaidi ya 40% wa waajiriwa zama za Mwinyi na Mkapa wamefoji vyeti.
 
Hata ukisema walimu wakaguliwe vyeti, ni lini mwizi ukamtuma kumkagua mwizi mwenzake? utakuwa umemuongezea mtaji ufanisi katika kazi yake.
 
Wakague wasafishwe wote wenye vyeti tubaki mwasafi tu. Anzeni na mulugo. Hapa tutaelewana.
 
Zoezi hilio lianzie Ikulu,Lienee wizarani,Bungeni then lihamie kwa watumishi wa umma kabla yakuhamia kwenye mashirika.
Vinginevyo hata wanaokagua wanaweza kuwa na vyeti feki.
Ushauri wangu ile tume ya Maadili ikague na vyeti kwa vigogo!
 
Vigogo wengi hawana vyeti original ila hawa wapya kama walimu ndo wakuwakazania vigogo wanastafu bhana
Hongera kwa mada yako
 
Ndugu wanabodi
Nimeona nilete mada hii kwenye uwanja huu ili watu wajadili,ni nini chanzo cha kuporomoka kwa elimu Tanzania,wengi wametaka Waziri wa Elimu na naibu wake Philip Mlugo wajiuzulu mie naona kwamba kujiuzulu sio tatizo,tatizo ni hawa watu waliopewa jukumu la kuwafundisha hawa watoto,wenyewe wamefeli mitihani na walinunua vyeti kwa watu wengine,na wengine walinunua vyeti baada ya kufeli mitihani hivyo kununua vyeti hivyo,na ukitaka kuwabaini waite waalimu wote waambie waje na vyeti vyao vya mitihani na result slip kuonyesha kama kweli walifaulu masomo ya vyuo vya Ualimu,wengi utakuta wamenunua si vyao na vingine ni feki vimetengenezwa mitaani Dar lakini mtu kavitumia kupatia kazi
Ufaulu wa wanafunzi hasa shule za Msingi hauwezi kuwa mzuri sababu waalimu waliopo hawawezi kuwasaidia wanafunzi kufaulu,kuna maswali ambayo ukimuuliza Mwalimu wa Shule ya Msingi hawezi kukujibu hajui jibu,halafu ndio wanaopiga kelele wakati wengi wana vyeti vya kughushi lakini taifa linawaangalia
Waanze kukaguliwa waalimu kwanza kwani ndio chanzo cha wanafunzi kumaliza hawajui kusoma na kuandika na hasa mkoa wa Tanga Handeni waalimu wengi ni batili waliofoji vyeti na hawafai kuwa waalimu wa watoto
Philip Mulugo anaonewa tu yeye haingii darasani wanaoingia darasani ndio wameoza kabisa Mlugo kuifufua Elimu ya Tanzania wakague waalimu wote Tanzania utagundua uovu na uozo wa kutisha kwenye idara ya Elimu

na kweli walimu wakaguliwe,wana vyeti feki,huenda hii ndo sababu iliyokufanya UFELI
 
huo ni ukweli usiopingika kwamba waalimu wengi ni vihiyo hususani wa shule za msingi mimi kuna rafiki yangu tulimaliza naye shule ya secondary vudoi iko mwanga mjini mkoani kilimanjaro na aliperform na ziro bt nw ni mwalimu na sijui alitumia mbinu gani kupata huo ualimu maana ni mwajiriwa wa serekali so mimi ninafikiri ni muda muafaka kwa wananchi na serekali kutambua umuhimu wa elimu kwanza kwani huwezi kumkabidhi pilot feki kuendesha ndege lazima itaanguka tu na jamii ibadilishe mtazamo juu ya kazi ya ualimu kwani hawa ndio wazalishaji wa wataalamu wa kada nyingine mfano mimi ninasoma shahada ya ualimu udsm na advance niliperform na one ya 7 lakini kila nikikutana na watu wangu wa karibu na kuwaambia programm ninayosoma wanaonekana kunidharau na kuniambia kwanini nisingesoma programm nyingine so we have to change our mindset toward education carries coz is the most sensitive sector wich dertermine national development in general.
 
Mtoa hoja hupaswi kutoa maoni yako mapem 'pose a problem then let people discuss' ukisema nini tatizo halafu ww mwenyewe unatoa tatizo sasa sisi tujadili nini? inaonekana ww vyeti vyako pia ni tatizo. Kumbuka hata watu wenye dhamana ya kuilinda nchi hii hawana vyeti, sasa utakagua cheti vipi wakati cheti halisi hukijui hata kinafananaje?
 
Back
Top Bottom